Hatutakubali serikali yetu kuaibishwa na wanasheria wasiojua sheria kama hawa

Think usiandike andike tu..!!

In general, lazima usome Arts subjects ili uwe lawyer baadae...!! Iko hivyo...!!

But, nimekwambia hapo juu, kama una memory nzuri, just kumbuka few of ur friends tokea O-level, A-level waliosomea Arts subjects, ni vi.la.za sana sana, of which wengi ni wanasheria leo...!! Take few mins, wakumbuke...!!

So, kutegemea umakini, kwa watu hao ni ngumu, wengi walikuwa maa.ndazi kweli..!!
Ni wachache sana walikuwa brilliant ktk masomo ya arts... mm hata siwakumbuki..!!
Lisu yeye alichanganya na physics?
 
Ambao wamewahi kwenda mahakamani wanajua jinsi documentation inavyofanyika kumtoa mhusika baada ya wao kuchukua chao,
wanasheria wa serikali wanajua sana wanachofanya ila baada ya kuchukua chao wanafanya ujanja ujanja ili jamhuri ishindwe kesi


Unataka kutuambia





kwa tuhuma zinazomkabili Lisu hakustahili kupata dhamana?
 
HAKIMU: upande wa jamhuri, mnataka mahakama imnyeme mshitakiwa (Lissu) dhamana kwa sheria ipi?

Naomba mleta post ujibu hili ili mawakili wa serikali wasichemke tena
 
Kuna rafiki yangu alinichekesha kwa kuniambia eti wale waliokuwa vilaza darasani ambao ni watoto wa vigogo ndio huajiriwa na serikali hivyo hawawezi kushinda kesi hata moja
 
Wee sikia, nikupe just hints..!!

1: Wanasheria wengi vi.laza sana, tokea A-level wanachukua masomo ya Arts, HGL, HKL, ni vil.aza sana, kama huamini hili, wakumbuke ur friends wa A-level au hata O-level waliochukua masomo hayo ya Arts, ni vi.laza mno... So vikija soma laws kidogo na u.****** wao wanajiona wako ON TOP OF THE WORLD.... kumbe chicke.n head kabisa...!!

2: Never ever expect umakini kwa wanasheria as i mentioned most their background ni vi.laza mno... wengine hata kujenga hoja tu hawawezi kazi yao UBISHI, na wakidhania UBISHI ndio hoja... most 95% even legal argument hawawezi, they can't stick ktk issue unao argue nao legally, wanaongea very general...

So, wakikutana uso kwa uso na mtu kama Tundu Lissu anaye practice Law kila siku, kwa miaka, anawatoa Knock out...!!

Nimalizie tu, don't expect umakini kwa watu wenye background ya Arts subjects, hasa kwa Africa, hilo sahau...!!

mkuu umeweka kisu kwenye mfupa. nilikuwa na jamaa yangu tulimaliza naye six tilichukua hge, alikuwa mbishi balaa, leo naye ni mwanasheria. kwa kuwa namjua alikuwa mtupu hata akiniona anakosa raha, japo yuko vizuri kimaisha
 
Wale walio wanasheria au wajuzi wa sheria popote mlipo mnatambua kabisa kuwa kabla ya kupeleka hati za mashitaka au maombi ama kiapo mahakamani ili kufungua kesi au maombi yoyote, ni lazima kwanza uyapitie tena ili kuyahakiki na kuona kama kuna kitu au jambo limesahaulika. Kwa mfano: Tarehe na sehemu ulipoapia kwenye KIAPO na mengineyo yaliyo muhimu. LAKINI HALI IMEKUWA TOFAUTI KWA WANASHERIA HAWA WALIOPELEKA MAOMBI YA PINGAMIZI LA DHAMANA KUZUIA TUNDU LISU ASIPEWE DHAMANA. Haiwezekani washindwe kirahisi kiasi hicho kujaza tarehe na sehemu walipoapia kiapo chao, ukizingatia kuwa hii ilikuwa ni KESI KUBWA iliyohitaji umakini mkubwa, na hatahivyo walikuwa wanasheria zaidi ya mmoja, iweje sasa washindwe wote kukipitia kiapo hicho kabla ya kukipeleka mahakamani. BADALA YAKE WAMEIAIBISHA SERIKALI KWA KUSHINDWA KATIKA HATUA YA AWALI KABISA. Haliwezekani kufikirika jambo hili, Wanasheria hawa wakamatwe wahojiwe kwanini washindwe kirahisi hivyo na waseme ukweli maana huenda hawa wanasheria wako pamoja na TUNDU LISU JAPOKUWA WALIJIFANYA KUMPINGA MAHAKAMANI. HATUTAKI WANASHERIA ******.

Ningeishauri iajiri wanasheria Competent, Ni aibu na fedheha kubwa kwa serikali kwenda kumshitaki Tundu Lissu na kushindwa kesi.

Serikali iache kuajiri wanasheria VILAZA
 
Wale walio wanasheria au wajuzi wa sheria popote mlipo mnatambua kabisa kuwa kabla ya kupeleka hati za mashitaka au maombi ama kiapo mahakamani ili kufungua kesi au maombi yoyote, ni lazima kwanza uyapitie tena ili kuyahakiki na kuona kama kuna kitu au jambo limesahaulika. Kwa mfano: Tarehe na sehemu ulipoapia kwenye KIAPO na mengineyo yaliyo muhimu. LAKINI HALI IMEKUWA TOFAUTI KWA WANASHERIA HAWA WALIOPELEKA MAOMBI YA PINGAMIZI LA DHAMANA KUZUIA TUNDU LISU ASIPEWE DHAMANA. Haiwezekani washindwe kirahisi kiasi hicho kujaza tarehe na sehemu walipoapia kiapo chao, ukizingatia kuwa hii ilikuwa ni KESI KUBWA iliyohitaji umakini mkubwa, na hatahivyo walikuwa wanasheria zaidi ya mmoja, iweje sasa washindwe wote kukipitia kiapo hicho kabla ya kukipeleka mahakamani. BADALA YAKE WAMEIAIBISHA SERIKALI KWA KUSHINDWA KATIKA HATUA YA AWALI KABISA. Haliwezekani kufikirika jambo hili, Wanasheria hawa wakamatwe wahojiwe kwanini washindwe kirahisi hivyo na waseme ukweli maana huenda hawa wanasheria wako pamoja na TUNDU LISU JAPOKUWA WALIJIFANYA KUMPINGA MAHAKAMANI. HATUTAKI WANASHERIA ******.


Siku zote ukiwa mwongo unahitaji kua na memory kubwa sana.
Hawa wanasheria kesi hizi wanazosimamia (kwa lissu) nyingi ni za kubambika.

Na ndiyo maana umakini unawapotea.
Kwa kushindwa kuonesha kiapo kilipofanyika ingawa ni madhaifu makubwa.Labda kesi za mafisadi kwa kua ni za muda mrefu labda watajiandaa vizuri.Ila kama hayo yote yanasababishwa na incompetences zao basi serikali ijiandae kupata aibu kubwa mbeleni.

Ukuta wanasema ifikapo 1 sept kila watakapokataliwa kufanya mkutano watafungua kesi mahakama kuu ya kanda kwenye kila eneo husika.
Sasa hapo ndipo mtakapoona serikali itakavyobwagwa kisheria.

Idara ya sheria itazamwe upya. Ndiyo mikataba mibovu mingi mnayoiona nchi hii sababu ni lawyer wetu. Wamulikwe.Huenda wakawa ni mafisadi wa kutumia kalamu halafu lawama zinawaangukia wanasiasa
 
Ndio hao akina Lissu, wako very few, 95% ya wanasheria background zao ni ****** sana...!! Remaining 5% ndio hao wako kidogo wazuri kichwani...!!
so kweli kuwa wana art ni vilaza ukilaza ni were mwenyewe, tatizo linalowatokes mawakiri was serikali ni kuendeshwa na order za ajabu, hivi unawakumbuka wana science walosoma mpaka wana PHD ni ma Dr ila hawajui kiingereza? unawajua? sasabhao wanabtofauti gani na mawakiri waloboronga juzi? ni ujinga binafisi kwan lieu alisomea mbinguni?think big bana
 
Wee sikia, nikupe just hints..!!

1: Wanasheria wengi vi.laza sana, tokea A-level wanachukua masomo ya Arts, HGL, HKL, ni vil.aza sana, kama huamini hili, wakumbuke ur friends wa A-level au hata O-level waliochukua masomo hayo ya Arts, ni vi.laza mno... So vikija soma laws kidogo na u.****** wao wanajiona wako ON TOP OF THE WORLD.... kumbe chicke.n head kabisa...!!

2: Never ever expect umakini kwa wanasheria as i mentioned most their background ni vi.laza mno... wengine hata kujenga hoja tu hawawezi kazi yao UBISHI, na wakidhania UBISHI ndio hoja... most 95% even legal argument hawawezi, they can't stick ktk issue unao argue nao legally, wanaongea very general...

So, wakikutana uso kwa uso na mtu kama Tundu Lissu anaye practice Law kila siku, kwa miaka, anawatoa Knock out...!!

Nimalizie tu, don't expect umakini kwa watu wenye background ya Arts subjects, hasa kwa Africa, hilo sahau...!!
Kutokujielewa kwa kiwango cha lami... Kameze dozi za milembe kwanza
 
Wale walio wanasheria au wajuzi wa sheria popote mlipo mnatambua kabisa kuwa kabla ya kupeleka hati za mashitaka au maombi ama kiapo mahakamani ili kufungua kesi au maombi yoyote, ni lazima kwanza uyapitie tena ili kuyahakiki na kuona kama kuna kitu au jambo limesahaulika. Kwa mfano: Tarehe na sehemu ulipoapia kwenye KIAPO na mengineyo yaliyo muhimu. LAKINI HALI IMEKUWA TOFAUTI KWA WANASHERIA HAWA WALIOPELEKA MAOMBI YA PINGAMIZI LA DHAMANA KUZUIA TUNDU LISU ASIPEWE DHAMANA. Haiwezekani washindwe kirahisi kiasi hicho kujaza tarehe na sehemu walipoapia kiapo chao, ukizingatia kuwa hii ilikuwa ni KESI KUBWA iliyohitaji umakini mkubwa, na hatahivyo walikuwa wanasheria zaidi ya mmoja, iweje sasa washindwe wote kukipitia kiapo hicho kabla ya kukipeleka mahakamani. BADALA YAKE WAMEIAIBISHA SERIKALI KWA KUSHINDWA KATIKA HATUA YA AWALI KABISA. Haliwezekani kufikirika jambo hili, Wanasheria hawa wakamatwe wahojiwe kwanini washindwe kirahisi hivyo na waseme ukweli maana huenda hawa wanasheria wako pamoja na TUNDU LISU JAPOKUWA WALIJIFANYA KUMPINGA MAHAKAMANI. HATUTAKI WANASHERIA ******.
Kama na wewe ni mwanasheria hao walioshindwa kwa Lisu ni bora zaidi !
Na kama siyo basi taaluma yako inatia shaka kwa hiki ulichoandika..
Pitia tena andiko lako utaona ujinga wako! Ulianza vizuri ukaharibu..
 
Nadhani huwajui vizuri wale wanasheria wa serikali kwenye Ile kesi. Wale jamaa ni vichwa na hata mawakili wote wanawafahamu. Kama unabisha fuatilia kesi moja ya Ling Ling ya mahakama ya rufaa na wale jamaa ndo waliiwakilisha serikali na kushinda. wale jamaa ndo waliargue na kushinda. Uwe unauliza kabla hata hujakurupuka kupost huku.

Ambao wamewahi kwenda mahakamani wanajua jinsi documentation inavyofanyika kumtoa mhusika baada ya wao kuchukua chao,
wanasheria wa serikali wanajua sana wanachofanya ila baada ya kuchukua chao wanafanya ujanja ujanja ili jamhuri ishindwe kesi
umenena jambo la msingi na ndicho kitu kinachotia shaka kwa hawa wanasheria kushindwa kujaza tarehe na mahali kilipoapiwa kiapo hicho hata kupelekea maombi yao kuondolewa mahakamani. Swali ni Kwanini itokee hivyo ilhali walikuwa zaidi ya mmoja, huenda walifanya makusudi ili serikali ishindwe na serikali lazima iwaangalie kwa umakini wanasheria hawa la sivyo wataendelea kuiliza sana.
 
Mkuu hii kesi unaiita "kubwa sana' inazidi ya mauaji ya Mwangosi???? Ambayo hata hivyo bila picha pengine mtuhumiwa hata leo angekuwa huru.
 
Wanasheria wa Serikali wako katika mgomo baridi kuihujumu serikali. Kwa sababu hawalipwi mishahara yao kwa wakati.

Huna habari hiyo?

Mkuu unawachonganisha Wanasheria wa Serikali ya 'Mtukufu sana' ,unakitia kitumbua mchanga ..
 
Kesi kubwa inayohitaji umakin mkubwa?mtoa post uko serious kweli?kesi kubwa iko wapi?
 
Back
Top Bottom