Baada ya muda mrefu sana leo tena nimekutana na mtanzania anaeweza kufikiri kikamirifu kwa kutumia ubongo asante sana mungu azidi kukuoa uwezo wa kutambua mambo mengine zaidi
Sasa kama diamond platinumz na mazoezi yote yale na maviuno yote yale anayokata watu WAMEMLIA tunda lake vizuri sembuse kibabu kizee HAYATI DR. R.A MENGI?? Mbona hakuna jipya hapo kabisa alichofanya Jacky
Ukitaka kujua uyo kwenye io video kuwa bishop gwajima or sio tuliza akili angalia na kisikiliza kwa umakini na vizuri mwisho lazima utapata jibu ambalo hata wewe utaridhika nalo don’t panic RELAX
Mi nakataa kabisa JPM kama kweli angekuwa ana nia njema na hili taifa na wananchi wake wa kipato cha chini asingetuletea io mindege yake ambayo shirika lina deni kuliko mtaji wake na SGR
JPM angetuletea maji hadi vijijini, umeme hadi vijijini na kusaidia wakulima kiukweli sio kwa maneno tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.