Wanaochanja na wachanje tu, nikifa itakua siku yangu imefika. Mwisho wa siku Mungu akikuhitaji mja wake hakuna kinachoweza kukuepushia mauti ila corona itakua ni sababu tu ya kuondoka kwangu.
Usikimbilie tu kusema mtu anapaki sehemu isiyoruhusiwa.....sehemu open space hakuna kibao kinanionyesha no parking na sihatarishi usalama wa watumiaji wengine wa barabara nikisimama hapo hat kuongea na simu tu wanakuja wananiambia nimepaki vibaya hata ingekua wewe ungekubali?
Usiongee kwa...
Wangeziachia hizo hela nyingi kwanza wanazosema zitapatikana ndio walete hizo tozo na makato yao siyo wanatudunga sindano halafu wanatufariji kirahisi namna hiyo
Omba sana yasikukute ndugu yangu, siku yake tu ilikua imefika apumzike kwa Amani mpambanaji mwenzetu.
Matukio kama hayo ukitoka siyo sababu wewe jabari sana bali Mungu tu hajakuita kwake bado
Nyie mnaosema kilimo mnakijua au mnasema tu,kwa kilimo chetu hiki cha kutegemea mvua ambazo hazieleweki zitanyesha lini si utalia.Mi sina hamu na hicho kilimo nimepoteza 1.5m kuandaa shamba,kununua mbegu matokeo yake mvua zimekataa ikawa imekula kwangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.