Hii siyo sahihi, sheria inaruhusu timu tano kushiriki endapo bingwa wa europa cup na champions league atakua si mmoja wa wale top 4 ndipo mshindi wa nne kwenye league anaqualify moja kwa moja europa cup.
Mmmmh jamani range sports ndo bei huanzia £50,000 napo inategemea ni ya aina gani kama ni V8 iko kwenye £80,000 na bei za kawaida za new vogue kabla ya kusafirishwa zina range kwenye $ 90,000 -$120,000 hizo habari fuatilieni kwenye mitandao.
Duh nchi yangu Tanzania,Kwa hiyo shule zote zilizofungwa kwa madai ya kukosa chakula kumbe hazina maana nadhani ni shule nyingi sana zimefungwa au serikali ni kipofu au kiziwi?
Tuache kujifanya tuna busara kwa kuonyesha upumbavu wetu hivi wakristo pekee ndio wakenya?hivi wanajeshi wa Kenya walioko Somalia wote ni wakristo? Tusiwe tunaendekeza ujuha kwa kivuli cha Dini na sio tunasema mbona wasomali wanabakwa na wakenya then wakristo pekee ndo wanauwa. Ingekuwa watu...
Tuache kujifanya tuna busara kwa kuonyesha upumbavu wetu hivi wakristo pekee ndio wakenya?hivi wanajeshi wa Kenya walioko Somalia wote ni wakristo? Tusiwe tunaendekeza ujuha kwa kivuli cha Dini na sio tunasema mbona wasomali wanabakwa na wakenya then wakristo pekee ndo wanauwa. Ingekuwa watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.