Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah 13 anaefuata ana 4? Acha utd iendelee kuchukiwa na wapinzani
Hizo 13 zilipatikana kwa ajiri ya uwepo wa yule mzee wa kiscotland, sasa hivi si hayupo? subiri uone drought kama ya liverpool huu tunaenda mwaka wa nne.
 
We endelea kufulahia long passes
e9b877090b65667358490689c91d6ff1.jpg
Itakua hajaelewa maana ya long pases
 
Hizo 13 zilipatikana kwa ajiri ya uwepo wa yule mzee wa kiscotland, sasa hivi si hayupo? subiri uone drought kama ya liverpool huu tunaenda mwaka wa nne.
Mwaka wa nne unapata la kuongea? Wakati kuna watu wanakaribia 30, na wengine wanenda kwenye 20 huko.
 
Michael Carrick misses today's game through illness. [HASHTAG]#MUFC[/HASHTAG] [HASHTAG]#MUNMID[/HASHTAG]
 
Nilidhani herrera angecheza 6 then mata aingie kumi kaanza big fella tena? Doo haya ngoja tusubiri.
 
Back
Top Bottom