Upigaji kura wachelewa maeneo mengi Uganda(updated news)
Upigaji kura wachelewa maeneo mengi Uganda
Image caption Upigaji kura unafaa kuanza saa moja asubuhi kwa mujibu wa sheria
Wapiga kura nchini Uganda wanaendelea kupiga kura vituoni kuwachagua viongozi, ingawa katika baadhi ya vituo...
Image copyright Tina Knowles. Instagram Image caption
Beyonce na wacheza densi wake waliovalia kama wanachama wa Black Panther
Waandamanaji watatu walijitokeza katika mkutano wa kumpinga nyota wa muziki Beyonce nje ya uwanja wa soka ya Marekani mjini New York.
Maandamano hayo yaliitishwa baada...
Image caption Kanye West
Albamu mpya ya mwanamuziki Kanye West imepakuliwa kutoka mtandaoni zaidi ya mara 500,000 kulingana na kampuni ya kupakua kanda za video na sauti Torrent Freak.
Msanii huyo alitoa albamu hiyo ya Life of pablo kutoka kwa huduma ya mtiririko wa muziki wa Jay-Z Tidal siku...
Image copyright AP
Katika Uwanja wa El Molinon Lionel Messi amekuwa mchezaji wa kwanza kufikia bao la 300 katika La Liga pale ambapo amepachika mabao mawili dhidi ya Sporting Gijon. Katika mechi hiyo ambayo Sporting wameambulia goli moja, Luis Suarez naye amepiga bao lakini pia akakosa penati...
Christian Ronaldo ni kama amewajibu kwa vitendo wanahabari wale ambao jumanne alikataa kuendelea kuongea nao pale alipoulizwa kuhusu ukame wa magoli ya ugenini.
Goli lake la 33 la Musimu limeisaidia Real Madrid kusogelea robo fainali ya Champions Ligi. Kikosi kilichoko chini ya Zinedine Zidane...
07:45 Upigaji kura katika maeneo mengi umeanza, ingawa kwa kuchelewa. Hapa ni Kalangala watu wakipiga kura.
07:44 Kuna ripoti kwamba baadhi ya watu wanaotumia simu kuingia mitandao ya kijamii ya Twitter na Facebook wanatatizika. Lakini WhatsApp inafanya kazi.
07:30 Upigaji kura ulifaa kuanza...
Kampuni ya utengenezaji vifaa vya michezo ya Nike, imesitisha mkataba na uhusiano na mwanamasumbwi Manny Pacquiao baada ya bondia huyo wa uzito wa juu dunia baada ya kuwafananisha wapenzi wa jinsi moja kama wasio na thamani zaidi ya wanyama.
Bingwa huyo wa masumbwi ulimwenguni mwenye umri wa...
Image caption Ndege ya kampuni ya Daalo nchini Somalia ilioshambuliwa
Mwalimu mmoja wa shule ya Madrasa, ametamabuliwa kuwa mshukiwa aliyetekeleza shambulio la bomu ambalo lilisababisha shimo kubwa katika tanki ya mafuta ya ndege moja ya abiria nchini Somalia, iliyokuwa ikielekea nchini...
(news update)Apple yapinga amri ya kuifungua simu ya muuaji
Image copyright Getty
Image caption Mkurugenzi mkuu wa Apple Tim Cook
Apple itapinga amri ya mahakama ya kuwasaidia wachunguzi wa shirika la kijasusi nchini Marekani FBI kuchukua habari katika simu ya muuaji wa watu 14 katika eneo la...
Image caption Muuaji wa San Bernadinho Syed Farook
Jaji mmoja katika jimbo la Carlifonia nchini Marekani ameiamrisha kampuni kubwa ya Teknolojia ya Apple kusaidia polisi katika kuchunguza simu ya mwanamume ambaye aliwapiga risasi watu 14 katika eneo la San Bernardino mwezi Disemba.
Syed Rizwan...
Pikipiki hutegemewa sana kwa uchukuzi Burundi.
Burundi imepiga marufuku pikipiki kuingia katikati mwa mji mkuu Bujumbura katika juhudi za kujaribu kupunguza mashambulio.
Pikipiki hutumiwa sana kusafirisha watu na mizigo Bujumbura lakini sasa zimekuwa zikitumiwa kutekeleza mashambulio, meya wa...
Image copyright AFP
Image caption Bw Obama amekuwa akikutana na viongozi wa nchi za kusini mashariki mwa Asia
Rais Barack Obama amesema anaamini mgombea urais wa chama cha Republican Donald Trump hatakuwa rais wa Marekani.
Amesema kazi hiyo ni “kazi kubwa”.
"Ninaendelea kuamini kwamba Bw...
Image copyright Reuters
Image caption Kanye West alisema majuzi kwamba anadaiwa $53m
Mwanamuziki Kanye West amemuomba hadharani mwaanzilishi wa Facebook Mark Zuckerberg ampe usaidizi wa kifedha.
West anataka Zuckerberg awekeze $1bn (£700m) katika miradi yake akisema yeye binafsi hana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.