Recent content by Powerman

  1. Powerman

    Income ipo, expenses za ofisi zipo chini yake lakini profit haiendani na juhudi

    Fungua kabiashara kingine ka ziada unakuwa na more than one option hiyo ziada unaweka mtu unayemuamini kusimamia huku wewe ukiendelea na hiyo at the end of the day unakuwa na double source of income
  2. Powerman

    Naomba nafasi ya kazi

    Mkuu huyo jamaa anapatikana wapi kwa aliyepo dodoma?
  3. Powerman

    Kama haukuangalia hizi muvi uzaliwe tena

    The way of the dragon bruce lee spiderman 2002 fist of legend jet li Paranawe mark dacascoss Bloodsport van damme Drunken master jackie chan escape from sobibo commando anorld schwensnegger saiborg van damme
  4. Powerman

    Nataka kuolewa, ila nataka nieendelee na uhuru wangu

    Kubali yaishe mjomba alafu usiwe unajifanyia maamuzi ya pekeyako kama unampenda kweli haijalishi mahala alipo nataka ulijue hilo mapema kwamba ukishaingia kwenye ndoa utakuwa chini ya mume punguza marafiki ndo wanaokushauri ujinga.
  5. Powerman

    Vijana wa siku hizi acheni mambo haya yanawamaliza

    Mkuu kwanza mimi binafsi sibeti kwa mazoea ila ckuizi vijana wengi wameigeuza kama ajira huwa nahuzunika sana nchi yangu nguvu ya vijana inazidi kupotea.
  6. Powerman

    Yaani unakuta Mwanaume Umelala na Huna Zana yoyote ya Kujilinda Ndani Mwako

    Nitafanya hivyo siku nikiwa na billion nimezificha ndan ila jua ukiwa na Mungu huna haja ya kusumbuka mkuu ✍️
Back
Top Bottom