Naomba nafasi ya kazi

Naomba nafasi ya kazi

Kazi za sales na marketing hata leo kampuni yoyote hunyimwi. Utaambiwq ufanye physical visiting ukasage meno
 
Mim ni Kijana wa kiume , mwenye afya njema elimu yangu kidato Cha sita. Naishi dar es salaam kimara. Nimetafuta sana kazi ila nimekosa ,nilikuwa naomba nafasi ya kazi yoyote ile , na nipo tayari kufanya kazi yoyote ile kwenye mazingira yoyote yale
Boxer u aweza endesha?
 
Njo kwenye ulinzi udsm wenzako wapo wengi uku 0614951696
 
Njo pm mkuu...
Ila jua kabisa ninkazi ya viwandani kwa siku unapata 20 mpaka 25

Kazi kubabe viroba vya unga kilo 25..

Vugezo uwe na barua mbili ya utambulisho na mdhamini
.. namba ya nida
.. TIN number
Na kiasi cha shilingi 40k kama agent fee

Ukiwa tayari nitafute kama huna ivo vtu usosumbuke
 
Njo pm mkuu...
Ila jua kabisa ninkazi ya viwandani kwa siku unapata 20 mpaka 25

Kazi kubabe viroba vya unga kilo 25..

Vugezo uwe na barua mbili ya utambulisho na mdhamini
.. namba ya nida
.. TIN number
Na kiasi cha shilingi 40k kama agent fee

Ukiwa tayari nitafute kama huna ivo vtu usosumbuke
Kiwanda gan wanalipa hivo??
 
Mim nimemaliza mwaka huu katika chuo kikuu dar es salaam katika fani ya bachelor of commerce in tourism and hospitality management , sijaweka kwa sababu nasubiria matokeo yatoke ndo maana nikaamua niweke elimu yangu ya form six dhumuni kubwa ni kufanya kazi zile zote ambazo haziitaji mtu awe na ujuzi mkubwa customer service, marketing and sales, ulinzi, delivery n.k
Kama upo serious na sales kampuni yetu nltunahitaji agents kazi si ya kikesha juani ni wewe tu na juhusi zako inshort kama uwinga 0768842034
 
Njo pm mkuu...
Ila jua kabisa ninkazi ya viwandani kwa siku unapata 20 mpaka 25

Kazi kubabe viroba vya unga kilo 25..

Vugezo uwe na barua mbili ya utambulisho na mdhamini
.. namba ya nida
.. TIN number
Na kiasi cha shilingi 40k kama agent fee

Ukiwa tayari nitafute kama huna ivo vtu usosumbuke
Hapana hii umemdabganya hakuna agent fee na kiwanda kinacholipa hizo Hela aende pale BAKHERESA BUGURUNI -DSM awe na hivo vitu tu ila siyo Hela 40k hii nakataa

Ndugu unaetafuta kazi usije toa pesa hiyo Kwa yoyote,nimetoka elekeza vijana watatu wameenda pale na kazi wanapiga bila hiyo agent fee,na utawala wa kiwanda ulishakataza mtu kutozwa Hela,
Malipo ni hayo hayo yaliyoandikwa unategemea na kazi ya siku hiyo.

All the best.
 
Mcheki huyu Jamaa whatsapp 0628731833.. Anatafuta vijana wa kubandika mabango ya matangazo. Nafikiri ni mchongo wa tempo tu lakini sio mbaya angalao ukawa bize bize.
Mkuu huyo jamaa anapatikana wapi kwa aliyepo dodoma?
 
Njo pm mkuu...
Ila jua kabisa ninkazi ya viwandani kwa siku unapata 20 mpaka 25

Kazi kubabe viroba vya unga kilo 25..

Vugezo uwe na barua mbili ya utambulisho na mdhamini
.. namba ya nida
.. TIN number
Na kiasi cha shilingi 40k kama agent fee

Ukiwa tayari nitafute kama huna ivo vtu usosumbuke
Mwanamke naweza kupokelewa,na hitaji kazi pia?.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom