Tanzania Dream, tunashukuru kwa utafiti wako.Naomba kuuliza japo sio sehemu ya mada yako kwa leo, kwa nini unaandika M-ngu ?ni bahati mbaya au unamaana tofauti na sisi tunayojua ya Mungu?
Karucee
'The art of letting go" ni kitabu ?Kama ndiyo,basi mafunzo yake yafaa sana kwa mtu anayetaka kuishi kwa furaha.Kama la,basi tunashukuru kwa somo Kuntu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.