Mfano wa jamii tofauti wakipewa Ng'ombe wawili kama mtaji wao kujikamua kwenye umasikini.
UJAMAA/SOCIALISTS akiwa na Ng'ombe wa wawili atamgie jirani yake moja, na wana ishi katika shared poverty
COMMUNISM: ana Ng'ombe wawili serikali inazichukua na kuanza kuwapa maziwa.
FASCISM: una Ng'ombe wawili serikali inazichukua na kuanza ku kuuzia maziwa.
NAZISM: unakua na ngombe mbili serikali inazichukua na kuku uua.
CAPITALISM: una ng'ombe wa wili una uza moja una nunua ng'mbe dume zina zaliana sana unaanza kuuza mpaka una sitaafu unakua tajiri na ku uanza kula faida bila jasho.
NEO CAPITALISM: una ng'ombe wa wili unauza moja unapata Dume zina anza kuzaliana unaanza kununua za majirani, unawaajiri kua wachungaji kwenye famu yako na kuanza kuwalipa peanuts wages wanakufa waajiriwa masikini.
*MMAREKANI/US * unakua na Ng'ombe mbili una uza moja unarutubisha huyu moja mgine kutoa maziwa mengi kama ya ng'ombe 4, kwa kulazimisha hilo kukamuliwa maziwa mengi zaidi ya uwezo wake, ng'ombe anakufa unatafuta mtaalamu wa vertnary consultant kwa pesa kubwa kuchunguza sababu ya kifo.
MFARANSA: una Ng'ombe wawili unaanza maandamano kwa serikali yake ili apewe ng'mbe wa watatu.
MJERUMANI: una Ng'ombe wawili unawafanyia genetical modification ili waishi miaka 100 wana kula mara moja kwa mwezi tu ila wana jiendesha bila gharama zaidi.
MCHINA: ana Ng'ombe wawili ana wa uza kwa washindani wake na anza kutegeneza maziwa ya a plastic artificial milk ya bei kitonga anauzia majirani zake kwasbb ni ya bei nafuu kuliko maziwa original. ana tajirika sanaa na ku anza kufungua matawi mengineyo nje ya nchi yake.
MTAZANIA NA NDUGU ZE : Una Ng'ombe mbili anawachija wote siku ya krisimasi hadi Januari mosi, ku jipongeza kumaliza mwaka ana anza kuwaza serikali tena kumuletea Ng'ombe wengine, wasipo mletea una enda kanisani kuomba muujiza anaanza kufunga kula na kunywa kwa siku 40, nakujipaka mafuta ya upako ili Bwana awashushe kutoka binguni kwa njia yoyote, mwishowe unakufa masikini kabla ya wakati wake kwasbb ya mulnutrition/ lishe mbaya.
Kusema ukweli we are poor because we have poor beliefs.
UJAMAA/SOCIALISTS akiwa na Ng'ombe wa wawili atamgie jirani yake moja, na wana ishi katika shared poverty
COMMUNISM: ana Ng'ombe wawili serikali inazichukua na kuanza kuwapa maziwa.
FASCISM: una Ng'ombe wawili serikali inazichukua na kuanza ku kuuzia maziwa.
NAZISM: unakua na ngombe mbili serikali inazichukua na kuku uua.
CAPITALISM: una ng'ombe wa wili una uza moja una nunua ng'mbe dume zina zaliana sana unaanza kuuza mpaka una sitaafu unakua tajiri na ku uanza kula faida bila jasho.
NEO CAPITALISM: una ng'ombe wa wili unauza moja unapata Dume zina anza kuzaliana unaanza kununua za majirani, unawaajiri kua wachungaji kwenye famu yako na kuanza kuwalipa peanuts wages wanakufa waajiriwa masikini.
*MMAREKANI/US * unakua na Ng'ombe mbili una uza moja unarutubisha huyu moja mgine kutoa maziwa mengi kama ya ng'ombe 4, kwa kulazimisha hilo kukamuliwa maziwa mengi zaidi ya uwezo wake, ng'ombe anakufa unatafuta mtaalamu wa vertnary consultant kwa pesa kubwa kuchunguza sababu ya kifo.
MFARANSA: una Ng'ombe wawili unaanza maandamano kwa serikali yake ili apewe ng'mbe wa watatu.
MJERUMANI: una Ng'ombe wawili unawafanyia genetical modification ili waishi miaka 100 wana kula mara moja kwa mwezi tu ila wana jiendesha bila gharama zaidi.
MCHINA: ana Ng'ombe wawili ana wa uza kwa washindani wake na anza kutegeneza maziwa ya a plastic artificial milk ya bei kitonga anauzia majirani zake kwasbb ni ya bei nafuu kuliko maziwa original. ana tajirika sanaa na ku anza kufungua matawi mengineyo nje ya nchi yake.
MTAZANIA NA NDUGU ZE : Una Ng'ombe mbili anawachija wote siku ya krisimasi hadi Januari mosi, ku jipongeza kumaliza mwaka ana anza kuwaza serikali tena kumuletea Ng'ombe wengine, wasipo mletea una enda kanisani kuomba muujiza anaanza kufunga kula na kunywa kwa siku 40, nakujipaka mafuta ya upako ili Bwana awashushe kutoka binguni kwa njia yoyote, mwishowe unakufa masikini kabla ya wakati wake kwasbb ya mulnutrition/ lishe mbaya.
Kusema ukweli we are poor because we have poor beliefs.