Recent content by Pope leo x

  1. P

    Wabunge wa CCM wacharuka kuhusu serikali kutaka kukata mafao yao

    Hapana ccm haili rushwa kama taasisi,ila baadhi ya watumishi wake wasiokuwa waaminifu ndio wanakula rushwa kama kangi,
  2. P

    Wabunge wa CCM wacharuka kuhusu serikali kutaka kukata mafao yao

    Kangi amepoteza sifa yakuwa mwanaccm anakula rushwa hatumtaki sisi CCM
  3. P

    Hivi kuna sababu gani za kupost/kuweka picha za watoto wetu mitandaoni?

    Wazazi wako wanaumri gani au wewe unamiaka 10,wao 30
  4. P

    Tabia za wanaume wa kifipa (japo niko naye tayari na nampenda)

    Achana nae nifanye Mimi kiburudisho chako,nawewe Mchagga ulikosa mwanaume mpaka mfipa,je uliwakosa wahaya,wasukuma,wanyakusa,pole
  5. P

    Hivi kuna sababu gani za kupost/kuweka picha za watoto wetu mitandaoni?

    Wewe kwanza uko na Mtoto,pia mahitaji ya binadamu yanabadilika kwa kila muda Wa miaka kumi,wewe upo north Korea au,
  6. P

    Jesca Kishoa: Rais atangaze rasmi watoto wa mawaziri kusoma shule za serikali

    Pumba wewe sana kuna Waziri ambaye sio Mbunge,rudi shuleni ukasome civics
  7. P

    Value Renention Fees ni wizi wa dhahiri wa Bodi ya Mikopo

    Wale wanaofanya Kazi Nje ya Nchi wao wanawajuaje
  8. P

    Dk. Malasusa, hali bado tete

    Wewe unaweza kuweka usafi wake au wote wanasiasa Wa Maji chumvi
  9. P

    Dk. Malasusa, hali bado tete

    Wewe MUNGU MKUU muogope unajua unaongea nini?
  10. P

    TANZIA: Kocha na mchezaji wa zamani wa Nigeria Stephen Keshi afariki ghafla

    Pole sana jamani ila kuna ubaguzi mkubwa sana Mnamkubuka Rashidi Yekini alipokufa wanaigeria hawakumpa heshima yake kubwa
  11. P

    Clouds TV 360, kila atachosema rais ni ndio mzee?

    Ngoja niwakumbushe Hawa watoto,Obama alisaidiwa sana na CNN kuingiw madarakani,je Leo republican hawawezi kuichukia CNN,tatizo la Tanzania bado tupo nyuma kwa kila kitu,kula,kuoga,kutembea,maoni,arakuishi katika ndoa,sasa itakuwa kwenye maoni,clouds 360 pigeni Kazi wana mpo vema sana,achaneni na...
  12. P

    Aisee hata JF kuna mabinti visu

    Mangi shimboni mnama ako
Back
Top Bottom