Mchumia Rungu
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 1,434
- 821
Kudadadeki!!!! Kama hatujapata ajira tunalipaje sasa????au siku tukipata ajira ndio mkopo utakuwa umeshakuwa na penalty ya 90%!!!! Noma sanaaa
Jambo hili la mikopo ya elimu ni kama mchezo wa pata potea. Mtu kakopa, kazi hajapata na hana namna ya kuingiza kipato kiasi cha kuwa na ziada ya kulipa mkopo, na maisha yanazidi kuwa ya ghali. Halafu, serikali itegemee mikopo ya watu kama hao kulipwa! Watawakamata tu wale walioajiriwa na serikali yenyewe. Hapa ndipo ninapoona logic ya elimu bure. Mchango wa serikali katika maisha ya mtu iwe ni elimu bure.