Dk. Malasusa, hali bado tete

Dk. Malasusa, hali bado tete

Hii dayosisi ina radhi ya Muumba, wajitathmini na kuomba sana Mungu awarehemu. Lakini sharti la maombi ni kuusimamia ukweli kwa gharama yeyote. Nakumbuka Jery Ngwandu aliondoka kwa kashfa na huyu tena ameangukiwa na kashfa inayokaribia kumuondoa.
Ni Jerry Mungwamba (PhD). Mizengwe ni mingi sana Dayosisi ya Mashariki na Pwani
 
huyu askofu malasuxa ameanza kuandamwa na mwanaHALISI mbona ataipatapata nakwambia, akamwulize muumini wake lowaxa. kubenea akikuandama na gazeti lake huchomoki asee!!, yote haya yanatokana na huyu askofu kuhudhuria sherehe za kuapishwa rais JPM wakati msimamo wa kanisa lake ilikuwa ni kususia tukio lile. pole sana askofu.
Tatizo la MwanaHalisi ni kutoka kwenye professionalism na kuja kujiingiza katika UKAHABA WA HABARI.Na hii ni hatari sana. Josrphat Isango ndie anayeratibu ujinga huu Kwa ujira Mdogo sana.
 
Malasusa ni mzinzi haina haja ya kimfumbia macho walutheri wenzangu haiwezekani mtumishiwq Manisa kututia aibu kiasi hiki katika Imani nilikuwa najivua ulutheri kwa miaka mingo ila baada ya huyu jamaa nimekaa nyuma kama popo na sina Imani na hata sadaka zetu tunazotoa kanisa limejaa uzambiki,wizi,ubinafsi,pango LA walanguzi maeneo ya kanisa now days ni sehemu za biashara tena za kilanguzi wakiongozwa na wazee wakanisa n wachungaji habari za kkkt zote ninazo nalifahamu kanisa kuliko mfumo mzima Wa usimamizi na utendaji wizi utapeli mtupu.Malasusa dhambi haiendewi likizo uwezi kuikimbia sauti ya mungu itakufata popote ulipo.
Nenda zako shetani
 
Kumbe Dr Malasusa ni wa Mbeya?
Ni hivyo Mkuu. Namfahamu Malasusa tangu nikiwa Lutheran Junior Seminary Kule Sanze kisarawe. Alikuwa Mchungaji (Chaplain) Mwalimu wangu wa Divinity na Mwalimu Mkuu Msaidizi chini ya Mama Bulugu. Nikaja kumfahamu zaidi alipokuwa Usharika wa Mtoni. Malasusa kamwe, narudia tena KAMWE Mchungaji na Askofu yule sio wa kukutwa na kashfa petty kama hii.
Malasusa kwenye ishu hizi hayupo kabisa. Kama alikuwa Nazi, aliziacha kitambo sana
 
Malasusa ni mzinzi haina haja ya kimfumbia macho walutheri wenzangu haiwezekani mtumishiwq Manisa kututia aibu kiasi hiki katika Imani nilikuwa najivua ulutheri kwa miaka mingo ila baada ya huyu jamaa nimekaa nyuma kama popo na sina Imani na hata sadaka zetu tunazotoa kanisa limejaa uzambiki,wizi,ubinafsi,pango LA walanguzi maeneo ya kanisa now days ni sehemu za biashara tena za kilanguzi wakiongozwa na wazee wakanisa n wachungaji habari za kkkt zote ninazo nalifahamu kanisa kuliko mfumo mzima Wa usimamizi na utendaji wizi utapeli mtupu.Malasusa dhambi haiendewi likizo uwezi kuikimbia sauti ya mungu itakufata popote ulipo.
Tusihukumu tusije tukahukumiwa?je sisi tunaonyoosha vidole vyetu ni wasafi kiasi gani? ? ?
 
Ni hivyo Mkuu. Namfahamu Malasusa tangu nikiwa Lutheran Junior Seminary Kule Sanze kisarawe. Alikuwa Mchungaji (Chaplain) Mwalimu wangu wa Divinity na Mwalimu Mkuu Msaidizi chini ya Mama Bulugu. Nikaja kumfahamu zaidi alipokuwa Usharika wa Mtoni. Malasusa kamwe, narudia tena KAMWE Mchungaji na Askofu yule sio wa kukutwa na kashfa petty kama hii.
Malasusa kwenye ishu hizi hayupo kabisa. Kama alikuwa Nazi, aliziacha kitambo sana

Mkuu,

Mambo ya uzinzi hayana uhusiano wa kumfahamu mtu. Hufanyika kwa siri sana.... Laiti kuta zingekuwa zinasema ungestaajabu ya Musa kabla ya firauni.

Ni Mungu pekee ajuaye usafi wa mtu.
 
Back
Top Bottom