Recent content by pinpilojr

  1. P

    TANESCO: Kukosekana kwa umeme kwa baadhi ya maeneo yaliyoungwa grid ya taifa

    SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO) TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA UMEME KWA BAADHI YA MIKOA ILIYOUNGWA KWENYE GRIDI YA TAIFA JUNI 26, 2016 Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawatangazia wateja wake wa Mikoa ya Dodoma, Singida, Shinyanga, Tabora, Mwanza, Musoma, Mara, Babati, Simiyu na baadhi...
  2. P

    Rais Museveni: Mradi Bomba la Mafuta ghafi, utapita Kaskazini mwa Tanzania hadi Bandari ya Tanga

    Mtu wa ajabu ni wewe usiyependa maendeleo ya nchi maana ilo bomba litatengeneza ajira japo ni kidogo lakini si haba kwa watanzania
  3. P

    TANESCO:Taarifa ya kuomba radhi kwa katizo la umeme wilaya ya Kishapu

    SHIRIKA LA UMEME TANZANIA ( TANESCO ) TAARIFA YA KUOMBA RADHI MKOA WA SHINYANGA, WILAYA YA KISHAPU Shirika la umeme Tanzania Tanesco Mkoa wa Shinyanga linawaomba radhi wateja wake wote Wilayani Kishapu kwa kukosekana kwa huduma ya umeme kuanzia saa 9:00 alasiri. Katizo hilo lilitokana na...
  4. P

    TANESCO tunataka majibu ya tuhuma kuhusu udini

    Pole sana Kwa kuona wivu na ajira za watu ila kazana kutafuta ajira kama hauna ila kama unayo nakushangaa sana kwa mtu kama ww kuongelea udini badala ya kuongelea maendeleo we unaleta majungu maana huna tofauti na wambea ni hayo tu but sorry kama nimekuudhi
  5. P

    Ni kweli TANESCO hakuna majipu yanayohitaji kutumbuliwa kwa haraka?

    Mimi paia sitaki kuamini kuwa bado kuna wapotoshaji wengi wa uma kama wewe kwa jitiahada zote hizo Tanesco wanazo zifanya but lakini bado wewe unaibeza na kuona hakuna kitu wanacho kifanya Ila sishangai kuona kwa mtu kama wewe ndo unaweza kuwa miongoni mwa wale wasio lipa Umeme kama inavyotakiwa...
  6. P

    TANESCO: Taarifa ya Katizo la Umeme kwa baadhi ya Mikoa

    TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA UMEME KWA BAADHI YA MIKOA ILIYOUNGWA KWENYE GRIDI YA TAIFA FEBRUARI 27 NA 28, 2016 Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawatangazia wateja wake wa mikoa ya Singida, Shinyanga, Tabora, Mwanza, Musoma, Mara, Manyara, Simiyu na baadhi ya maeneo ya mikoa ya Arusha...
  7. P

    Nakukumbusha Profesa Muhongo, sijui unakumbuka!!

    Kwanza kabisa mtoa mada acha kupotosha uma ni lini Tanesco wametanga magao wa umeme. Maana hatujasikia tamko lolote la kuhusu mgao wa umeme. Napa uwe unafatilia jambo kwanza ili uwe na uwakika kabla ya kupost kitu usichokuwa na uwakikia. Maana Kila siku imekuwa ni lawama zisizo na uwakika hata...
  8. P

    taarifa ya kukosekana kwa Umeme kwa baadhi ya maeneo ya mkoa wa arusha

    SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO) TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA UMEME KWA BAADHI YA MAENEO YA MKOA WA ARUSHA Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Arusha kuwa mchana huu Februari 20, 2016 kifaa cha kukata umeme CIRCUIT BREAKER YA THEMI 1...
  9. P

    Taarifa ya TANESCO: Lori lagonga nguzo ya umeme mkoa wa Temeke eneo la Kizinga

    SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO) TAARIFA YA LORI KUGONGA NGUZO MKOA WA TEMEKE ENEO LA KIZINGA Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Temeke kuwa usiku wa kuamkia leo Februari 18, 2016 kuna Lori limegonga nguzo ya umeme maeneo ya Mto...
  10. P

    TANESCO: Tatizo la umeme kwa baadhi ya maeneo ya mkoa wa Ilala kwaajili ya matengenezo

    SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO) TAARIFA YA KATIZO LA UMEME KWA BAADHI YA MAENEO YA MKOA WA ILALA KWA AJILI YA MATENGENEZO Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Ilala kuwa kutakuwa na katizo la umeme leo asubuhi Februari 18, 2016 kwa...
  11. P

    Dawa ya kukatika kwa umeme,TANESCO ibinafsishwe

    Nadhani mtoa mada hufanyi research Bali unakurupuka kutoa mada kwa sasa shirika liko vizuri na wanazidi kuimarisha miundo mbinu na soon mambo yatakuwa poa zaidi kwa kwasasa Umeme upo wa kutosha
  12. P

    Dawa ya kukatika kwa umeme,TANESCO ibinafsishwe

    Nadhani mtoa mada hufanyi research Bali unakurupuka kutoa mada kwa sasa shirika liko vizuri na wanazidi kuimarisha miundo mbinu na soon mambo yatakuwa poa zaidi kwa kwasasa Umeme upo wa kutosha
  13. P

    TANESCO yaokoa mabilioni ya shilingi

    JAPAN YAISAIDIA TANESCO KUOKOA MABILION HAYA DAR ES SALAAM Shirika la umeme nchini TANESCO limeokoa shilingi bilioni 2.7 zilizokuwa zinapotea kutokana na ubovu wa miundombinu pamoja na tatizo la umeme kukatikakatika hovyo hali iliyokuwa ikilikosesha shirika hilo mapato. Uokoaji wa kiasi hicho...
  14. P

    Taarifa ya kukosekana kwa umeme kwa baadhi ya maeneo kataka mkoa wa Kinondoni Kaskazini

    SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO) TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA UMEME KWA BAADHI YA MAENEO YA MKOA WA KINONDONI KASKAZINI. Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini kuwa line ya umeme MECCO Kunduchi kwa ajili ya matengenezo...
  15. P

    Shirika la umeme Tanzania (tanesco)

    SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO) TAARIFA YA KUANGUKA KWA NGUZO 8 MKOANI ARUSHA. Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa wilaya ya Monduli mkoani Arusha kuwa, leo Jumapili Januari 24, 2016 majira ya saa 10.20 jioni hii kuna nguzo 8 za umeme mkubwa zimeanguka...
Back
Top Bottom