well said....MDAU....Na hata muandishi amesema RAY na Mange hawafanani wako totauti sanaaaa...NADANI PALE MUANDISHI ALIMAANISHA RAY STD 7 NA MANGE MBA...NAKUBALIANA NA MWANDISHI KUWA HAWA WATU HAWAFANANI WAKO TOFAUTI KABSAA
Jamani vengu inasemekana anaendelea vizuri kwani amenza kusimama na anafanyiwa mazoezi ya kuongea...mwenye clip ya kipindi cha take one atuwekee tumuone sajuki...poleni sana hiyo ni mitihani toka kwa mungu itapita tu.
Kwakweli hilo jambo ni la busara na nakuunga mkono muheshimiwa ila usisaha na zile za dr. Slaa pale mwembe yang alipomtukana jakaya kikwete na mama yake kipindi cha kampeni burn kwa pamoja....tukipata wazalendo 100 tu kama wewe tutafika mbali.
Mtanzania mzalendo na anaependa nchi si kila jambo analoelezwa kuhusu chama au kiongozi basi awe anabisha....Kwasabab tu anakipenda chama au kiongozi wake..Kumbukeni hao viongozi ni binadamu na kila binadamu ana mapungufu yake....Kama huyu ameleta huu "UZUSHI" Basi anatakiwa mwengine aje...
ha ha ha hapo kweli djfetty kawachana....huyo sinta nakumbuka jina la jenifer lopez lilikuja kupitia magazeti ya udaku...kipindi kile alipokuwa akibadili mabwana kama dalala...akitoka huyu kaingia huyu...na kipind kile jlo wa ukweli naye alikwua na vikashfa kama hivyo..KWAHIYO SINTA AKAONA NA...
BAADA YA MIAKA 5 AMBAPO CHADEMA NDO ITAKUWA IKIONGOZA NCHI SIPATI PICHA LABDA MUMEWE NDO ANAKUJA KUWA MBUNGE HALAF WAZIRI WA FEDHA/AFYA AU CHOCHOTE MKE WA WAZIRI HATA YES/NO HAJUI...PENGINE UMEKUJA UGENI TOKA NJE YA NCHI INABIDI PAWEPO MKALIMANI....YAANI MKE WA KIONGOZI KUAMBIWA UMEFIKA LA 7...
Jamani tusitake kutetea ujinga....suala la elimu hasa kwa mwanamke ni muhimu...hasa ukizingatia mama ndo muendesha familia...hivi hao watoto wake atakao zaa atawaambia elimu si muhimu mkiishia darasa la 7 mfanye kazi za ndani then uolewe na mume wa kwanza ukiona hana mshiko, achana nae olewa na...
Kitu kingine ina maana hata home work ya mtoto wake itamshinda kumsaidia ukizingatia darasa la 7 alosoma yeye ni za shule za kata na watoto wake nina uhakika kwa upeo mzuri wa mumewe itabidi watoto wapelekwe English medium sxhool..JE ATAWASAIDIA VIPI WATOTO KATIKA HOMEWORK AU CHOCHOTE???...Na...
Jamani tusitake kutetea ujinga....suala la elimu hasa kwa mwanamke ni muhimu...hasa ukizingatia mama ndo muendesha familia...hivi hao watoto wake atakao zaa atawaambia elimu si muhimu mkiishia darasa la 7 mfanye kazi za ndani then uolewe na mume wa kwanza ukiona hana mshiko, achana nae olewa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.