Fikiri kabla ya kusema na ucfkiri ni rahs khvyo bb kuna kitu kinaitwa pcb duh weka mbali na wtt ile bora uende dploma hlf ndo uende degree hyo ndo njia nzuri sawa ee
Duh Watu wengine cjui mnajickia tu kuongea au ndo mnasema ni akl ya asbh huwezi fkr sana na ka n hvyo bc uwe una subr sa nne ukoment mana opi zngne ni na wacwac na elimu zenu kabisa, huwezi ukashindwa kuchambua kauli ya dokta ht ka huna akili na haya yote yamewekwa waz kwa kupitia gwajima na...
Japo mi mwanaccm lkn jamani sa zingine mnashindwa kuwa waelewa cjui kwann coz ukiangalia hyo clip ya youtube naona huyo mzee kaeleza vzuri tu kwamba yy hasapoti chama wala mtu bali mabadiliko na ht sahv ukiangalia anamuunga mkono magufuli na anamwombea kwa yote anayo ya fanya, bt kikubwa...
Dah mpende akupendae ucmtupe anaeibuka now mana hujui siku wala saa utakapo dondosha chozi na kukimbilia sumu ya panya kisa umetenwa na anaekupenda ambae ni mchumba wa mtu mwngine kwa sahyo dah hakika nawaambieni wako wengi waliotamani kupata penzi na pendo la kweli lkn walishindwa kutokana na...
Hey kimya tuungane wote na serikali hasa nyie fichua maovu wa ukawa kina tundulissu mnyika kafulila na yule wa act bwana zitto tuikomboe nchi tycbaki kulaumiana tufanyeni kazi ss
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.