Its amazing watu wanamawazo finyo kama haya karne hii. Kaxi ipo .
Mshana Jr,wengi duniani bado wako gizani.Hawa watu ni hatari kuliko tunavyodhani.Kwa kweli nilianza kujenga mashaka na hizi chanj...! zao nashukuru nimeshaujua ukweli.Vipi na magonjwa haya:AIDS,SARS,EBOLA,SWINE FLU na BIRD FLU ni nature au man made?
Yani iko hivi microchip ni mbadala wa ATM card scanner, passwords nk... Kila kitu chako kitaunganishwa kwenye hiyo chip ambayo utawekewa mwilini mwako
Kwahiyo popote uendapo au Chochote ufanyacho serikali Itakuwa inakumonitor
Hakutakuwa na kadi za bima ya afya vitambulisho vya taifa passport kadi za chanjo bali ni kachip kadogo tu kalikofungwa mwilini mwako katakuwa na habari zako zote
Halafu kuna suala lingine linanipa utata kidogo.Kuna hili tatizo la AUTISM ambalo kwa kweli limekua worldwide disaster.Hebu Mshana Jr nisaidie hapa,hawa jamaa hawana mkono wao katika hili? Kwa uchokonozi wangu nimegundua kuwa wazungu ni watu hatari sana duniani. Wako nyuma ya hujuma nyingi sana dhidi ya binadamu wenzao.Vipi hii Autism,sio matokeo ya mipango yao? Karibu Mkuu!
Mwili wa Binadamu hauwezi kukaa na kitu artificial ndani yake mfano Mwiba tu ukiingia mwilini lazma mwili u-respond kwa kuvimba na kuuma sana je hiyo cheep itaeweza kweli kukaa Haitowezekana hiyo mshana jr
Mwili wa Binadamu hauwezi kukaa na kitu artificial ndani yake mfano Mwiba tu ukiingia mwilini lazma mwili u-respond kwa kuvimba na kuuma sana je hiyo cheep itaeweza kweli kukaa Haitowezekana hiyo mshana jr