Msaada nipo ugenini mwenyeji ananitisha

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Mar 6, 2014
4,449
9,372
Namini penye wengi hapalibiki jambo
Kama mnavyojua tupo katika msimu wa sikuku hivyo nimeamua tembelea ndugu na jamaa

Tatizo ni hivi hapa ugenini tumekuja watu kama wa tatu hivi kama mnavyojua nyumba za mjini vyumba vichache hivyo tu. Chumba ninacholala yupo kijana mwenyeji yeye anaishi hapa hapa tatizo ni kuwa nikianza sinzia na sikia ananistua kwa kunigusa nikistuka anatulia anajifanya kalala hivyo hivyo kama Mala kumi

Inabidi nijikolomeshe nione vip je naota au nashangaa anainuka anakuja ananitikisa nastuka anajifanya kalala


Ajabu uyu kijana anajifanya. Mlokole na anasali kweli

Miaka kama minne iliyopita tulikutanaga sehemu tukapewa hifazi tukalala akawa Anafanya hivi hivi

Leo tena anafanya jamani ebu nijuzeni nini hii maana napanga nizuge nimelala ile anakuja tu nimpige bonge la ngumi nachogopa nipo ugenini naogopa aibu
 
Mkuu unataka usubiri mpaka akuingizie dudu??Huyo muwahi na bonge la ngumi. Shauri yako!
 
Endelea kulala tuone mwisho atafanyaje we jifanye tu bt asije akakubaka kuwa mwangalifu
 
Ananisikitisha sana miye miye sasa kama mbwai iwe bwai nampiga mangumi sijali kama aibu ama nini sielewi maana
 
Mpaka nandika hivi mjue nimewaza sana sasa hivi anajifanya usingizini umegoma na yeye
 
Hapo najua huna usingizi tena amka ukae tu maana huyo Jamaa anataka kukufumia malinda.
 
Chukua uamuzi mapema, ila ingekuwa vema pia. kama ungeleta mrejesho wa suala hili ili tujue yeye ana utetezi gani.

Ni mimi Malezo kukuletea habari hii
 
Last edited by a moderator:
Jaribu kumfuatilia historia yake huko nyuma au alisha fuatilia historia yako,anataka umle 0712 au akufumue malinda
 
Ungevunga kulala kwanza umuangalie pulingi zake...unaweza shangaa akashika mic akaanza kusema nayo....kina dalili za huyo jamaa kuwa hoteli..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom