Joyce Ndalichako yafuatayo usiyasahau

Joyce Ndalichako yafuatayo usiyasahau

umesahau kumkumbusha aendelee na system ya majina badala ya no ili waislam waendelee kukatwa
 
Aondoe G.P.A halafu unasema asiyefikisha 3.0 no degree mbona hueleweki.

Read between lines😳. Kuna vitu viwili hapo secondari na Chio kukuu. Mtoa kada ameshauri GPA iondolewe ktk kada ya sekondari na mwanachuo at akaupata GPA chini ya 3.0 asipate degree.....labda apate diploma or something relevant.
 
weng humu ndan ni mapinzan wa elimu, kiukwel nenda sasa advance halafu fanya research kwa wanafunz wa BRN, bola kidogo wanao soma comb za scince ila wale wengne ndo hawajimelew kabisa tusubir ACSEE 2016 RESULTS tutaona.
BRN IONDOLEWE

we research hyo umefanya shule gani? acha kukariri maneno ya kjiwen? we ujui kama arts ndo wanaongoza kwa kupga distnction?
 
1.ondoa GPA
2.ondoa BRN
3.ondoa DV.5
4.asiye fikisha 3.0 ACSEE no degree
5.ondoa mtaala wa 2008
6. Diploma kwa watakao pata below 3.0 ACSEE

Kwani kwenye mfumo Wa kutunuku Madaraja tunalo daraja linaloitwa "divishen 5"??
 
weng humu ndan ni mapinzan wa elimu, kiukwel nenda sasa advance halafu fanya research kwa wanafunz wa BRN, bola kidogo wanao soma comb za scince ila wale wengne ndo hawajimelew kabisa tusubir ACSEE 2016 RESULTS tutaona.
BRN IONDOLEWE

BRN ina matatizo gani?
 
Elimu yetu imeharikia sehemu kuu mbili
1. maslahi/mazingira duni ya mwalimu
2.wanaoenda kusomea ualimu

madhara ya vitu viwili ndo imeleta ufisadi,dharau,siasa,uwizi,kukata tamaa,na mengne mengi kwenye elimu.

Jawabu: boresha namba moja hapo juu,kila mmoja mwenye ufaulu wa juu ataitaji kusomea ualimu kama zamani ambapo waliopata ufaulu hafifu ndo waliokwenda kusomea ukarani.

mbona USA uwezi kumchukua mtu akafundishe mtoto tuition? utamlipa gharama kama anayolipwa mwalimu na serikali
 
7.Ondoa Form iv kusoma STASHAHADA na SHAHADA bila kupita form vi
8.Ondoa waraka gandamizi kwa walimu waliojiendeleza kielimu

Fikiri kabla ya kusema na ucfkiri ni rahs khvyo bb kuna kitu kinaitwa pcb duh weka mbali na wtt ile bora uende dploma hlf ndo uende degree hyo ndo njia nzuri sawa ee
 
Maamuzi ya kukurupuka hayo! Ni sawa na kusema kila familia ipate chai ya maziwa kila siku wakati huna ng'ombe wa kukamuliwa kutosheleza familia zote, matokeo yake ni kunywa chai ya rangi ya mazima badala ya Chai ya maziwa!

Tutegemee 0 za kutosha ili awamu hii ikiisha atakayekuja arekebishe upya!

Ushauri wangu! Utoaji wa elimu kuanzia ngazi ya awali - vyuo ufanyiwe marekebisho. Wawepo wataalamu wa kufuatilia vipaji vya wanafunzi tangu primary ili kufikia kidaato cha kwanza wanafunzi wa sayansi watengwe kabisa na wanafunzi wa sanaa.
 
Fikiri kabla ya kusema na ucfkiri ni rahs khvyo bb kuna kitu kinaitwa pcb duh weka mbali na wtt ile bora uende dploma hlf ndo uende degree hyo ndo njia nzuri sawa ee
Physics, Chemistry, Mathematics & Biology .. hayo ndo masomo raisi sana kwa sababu hakuna aja ya kukariri. Wanafunzi wkiandaliwa vyema toka primary watayamudu vyema. Badala ya kuwafundisha masomo mengine mchanganyiko k.v history, geography n.k wawakazanie mapema kwenye masomo hayo!
 
Back
Top Bottom