Mali za umma zipi zinazoibiwa unazozijua wewe? Au ndio yale yale ya unyumbu? Hujui hata unachoongea
Haya nyie hapo Mikocheni ndivyo mnavyofanyiwa na akina Golugwa, Heche? Maana wanajilipa tu tone tone nyinyi hamnazo mpo mpo tu na unaandika kama mzoefu sana na kupumuliwa kisogoni
Mida ni mwalimu mzuri!
Ingekuwa ndio cha kwanza ningekubaliana na wewe ila kulikuwa na vyama vya upinzani vyenye nguvu kushinda hata Chadema na sasa historia
Kwakuwa mmejaa mabumbumbu humo ndani mnajilisha upepo wa mitandaoni, endeleeni hivyo hivyo
Note, Lema kwa sacrifices alizojitolea kwa...
Nadhani wanakutuhumu kwa ushirikina
Haiingii akilini afu 9 upate 27.7m?
Ungeenda hata laki angalau!
Hata kama mimi nipo kwenye maamuzi kwakweli nitakutilia shaka!
Ila komaa kesi za madai zinaweza kwenda hivyo hadi ukafariki wanao wakaendelea ma wakavuta hiyo 3m, kwanza wataona wamependelewa...
Karata ya Lema ilitumika pakubwa kumuondoa Mh Mbowe kwenye Uenyekiti, sidhani kama atakuwa mbuzi wa kafara! Mtu mwizi kama Heche anayemuua mwenyekiti wake mahakamani hivi hivi ndio Lema amkimbie
Kitu ambacho nina uhakika nacho viongozi hawa ndio wamekuja kuiua na kuizika kabisa Chadema...
Weka clip acha kujiuza kimalaya malaya
CHADEMA na Propoganda za uongo uongo ni chupi na kalio
Ndio maana mnatumika kijinga kina Heche wanajineemesha tu na magari makali
Hela za wapumbavu, hovyo kabisa
Mungu alikuwa anapiga story na Malaika!
Mfano wa kibinadamu kabisa Boss wa kampuni binafsi anaweza kuwaambia tu kesho "Tupumzike" sio kwamba nyinyi wote sasa ni wamiliki wa ile kampuni!
Mifano ya Mungu ni halisia kwa mazingira yetu haya haya
TUMEAGIZWA UPENDO
Sura tu inaonyesha huyu bwana si askari mwema! Haina nuru
Deep down labda ali snitch wenzie
Ila kwa sababu zenu za propaganda mnaletaga habari kinyume nyume kutia sumu
Mliokota dodo October 29 tu sasa hivi Watanzania wanachanganya na za kwao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.