Hoja zote ulizotoa ni invalid, hakuna mwenye maelezo sahihi kwanini aliumizwa, ikiwa je alikaidi kukamatwa na hii inathibitishwa kwa kufungwa pingu!
Pili, labda mara kadhaa ameitwa na hakutii wito au makosa anayoyafanya ni jinai na jinai kwa sheria zetu zinawaruhusu Polisi kufanya ukamataji...
Siku za hivi karibuni nimemsikia msajili msaidizi wa vyama vya siasa ndugu Sisty Nyahoza akikiri hadharani kuwa pamoja na ukubwa wa CCM lakini wamekuwa wanatii na kuwajibika kwa makosa mbalimbali yanayofanywa na wanachama wake
Si mara moja au mbili wamekuwa wakiwaandikia barua za onyo na...
Polisi wetu acheni ujinga huu kabisa, mtu tishio kama huyo anawatorokaje?
Kamchukueni mumtapishe anachojua/fahamu kuhusu October 29, labda ni mmoja wa kiunganishi cha maharamia
Isaidieni tume ya kijinai kukamilisha kazi yake kwa watu muhimu kama hao!
1. Amechoma kisu then akakigandamiza mpaka mtu anakufa
2. Hajaenda Polisi kujisalimisha badala yake akaenda kuukata kata gym kwake
3. Akaenda kuutupa vipande vipande
Bado unaona hakuwa na nia ovu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.