Hakuna Kidawa mkristu?
Mbona watu mmejigeuza miungu ya kuhukumu wenzenu
Mkifanya nyinyi sawa mnaunga ushoga wazi wazi na kula hela zao ili kuleta machafuko nchini wakifanya wengine ni batili, lol
Maelezo mengi utumbo mtupu
TEC ndio walipaswa kusoma alama za nyakati
Kina Mh Mwinyi na Kikwete ni half Islamic half Christian kwa maana ya masomo na mchanganyiko wa familia zao ni rahisi kuwa obedient kwa Catholic kuliko Mh Samia ambae makuzi na malezi yake ni aya na dua!
Mwanadamu anaweza kujinyonga, kunywa sumu n.k ili kujiua lakini anayejiua kwa kujikata kisu shingoni huyo ni next level.
Uliloshauri haliwezekani
Mwenye akili na ataelewa
Zitto najua yupo humu, CDM ni watu wa propaganda kuchafua watu mitandaoni
Toka sema, jitetee au tupe jukumu hilo sisi wengine tusio na upande tukusemee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.