Recent content by PeterwaPerer

  1. P

    JamiiForums Tanzania CCM na utii wa sheria

    You're stupidly indeed
  2. P

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    Hoja zote ulizotoa ni invalid, hakuna mwenye maelezo sahihi kwanini aliumizwa, ikiwa je alikaidi kukamatwa na hii inathibitishwa kwa kufungwa pingu! Pili, labda mara kadhaa ameitwa na hakutii wito au makosa anayoyafanya ni jinai na jinai kwa sheria zetu zinawaruhusu Polisi kufanya ukamataji...
  3. P

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    Chadomo kwa matusi hamjambo
  4. P

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    Hukusikia Polisi walichosema? Kama sio mtu hatari unakimbiaje na pingu?
  5. P

    JamiiForums Tanzania CCM na utii wa sheria

    Siku za hivi karibuni nimemsikia msajili msaidizi wa vyama vya siasa ndugu Sisty Nyahoza akikiri hadharani kuwa pamoja na ukubwa wa CCM lakini wamekuwa wanatii na kuwajibika kwa makosa mbalimbali yanayofanywa na wanachama wake Si mara moja au mbili wamekuwa wakiwaandikia barua za onyo na...
  6. P

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    Polisi wetu acheni ujinga huu kabisa, mtu tishio kama huyo anawatorokaje? Kamchukueni mumtapishe anachojua/fahamu kuhusu October 29, labda ni mmoja wa kiunganishi cha maharamia Isaidieni tume ya kijinai kukamilisha kazi yake kwa watu muhimu kama hao!
  7. P

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ofisi za CHADEMA Makao Makuu zimezingirwa na Polisi muda huu

    Kuna mhalifu labda yumo humo Watazingira tu?
  8. P

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Majibu mazito ya CHADEMA kwa Msajili, yagomea tishio la kufutwa au kutozwa faini

    "Sheria imeingizwa kimakosa" Chadema ni sikio la kufa Kwahiyo nyinyi By laws kwenu ni haramu? Kweli ujinga mzigo, mkikaangwa mtaanza kuhaha?
  9. P

    JamiiForums Tanzania Hapa nifanyaje wakuu

    Riziki yao ilikuwa mikononi kwenu Komaeni na mambo mengine tu
  10. P

    JamiiForums Tanzania Je, huwa unaota umepoteza kiatu/viatu?

    Hii picha tangu 2001 unayo tu
  11. P

    JamiiForums Tanzania Nyahoza: Barua yetu kwa CHADEMA inasema kusimamisha chama kwa muda, sio kufuta

    Well said Ndugu Nyahoza Chadema kujifanya last born nchi hii na kuwaacha sio malezi
  12. P

    JamiiForums Tanzania KERO Ofisi za NIDA Kisongo (Arusha) wamegoma kunihudumia kisa nimevaa suruali, wakati watumishi wao nao wamevaa

    Bila picha ni majungu kama majungu mengine Labda ulivaa ya kuchora maumbo yako!
  13. P

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu awakemea Gen Z wanaotukana Mahakama na Majaji

    Mimi au wewe?
  14. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Majibu mabaya kwa mpenzi yasababisha mauaji: Mkasa wa kusikitishaA wa 'Mr. Blue'

    1. Amechoma kisu then akakigandamiza mpaka mtu anakufa 2. Hajaenda Polisi kujisalimisha badala yake akaenda kuukata kata gym kwake 3. Akaenda kuutupa vipande vipande Bado unaona hakuwa na nia ovu?
Back
Top Bottom