Recent content by PeterwaPerer

  1. P

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania yaingia Mkataba wa Shilingi Bilioni 8 na Kampuni ya Ushawishi ya Marekani katika 'kulinda taswira ya nchi'

    JF ya siku hizi kila mtu anaongea hisia tu Kwa mtoa mada kulikuwa na shida gani hadi umeshindwa kuweka hiyo nyaraka ya siri au link tukajisomee wenyewe Hata kama mnatufanya hamnazo humu jaribuni kuwa critical kuliko kuwa na ntantalila na hapa na pale
  2. P

    JamiiForums Tanzania Kunani ya Msaidizi wa Lissu hadi Msaidizi wa Heche

    Suala la shutuma za ubadhirifu wa Heche na David Jumbe kuhusu hela za Chama na zenyewe zinawahusu CCM? Inakuwaje siku moja tu baada ya kushutumiana kwenye kamati msaidizi wa karibu anauawa?
  3. P

    JamiiForums Tanzania Kunani ya Msaidizi wa Lissu hadi Msaidizi wa Heche

    Wakuu umuofia kwenu! Nawasilimu kwa jina la Tanzania...... Leo Watanzania wameionyesha dunia kuwa sio "cheap" Watanzania huwa hawashirikiani na jambo wasilolijua mzizi wake, unaweza ukawanunua/wadanganya baadhi kwa mara ya kwanza ila hawawezi kurudia kosa! Kongole na kazi iendelee Nirudi...
  4. P

    JamiiForums Tanzania Mapokezi ya Heche na ToneTone yavunja rekodi Mbeya

    Mkiulizwa matumizi mnamsingizia CAG! Komaeeni wafadhili wamekatika baada ya kutakiwa maelezo kwenye miamala yao
  5. P

    JamiiForums Tanzania Mwanaume mmoja alikuwa na haraka akaamua kuingia choo cha wanawake

    The lost generation
  6. P

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya ndoto zangu(my dream house)

    Kwakweli mzee mwenzangu
  7. P

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu anajua ni nini kinaendelea hapa?

    Mila na desturi
  8. P

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima, Balozi Polepole na usahihi wa kauli ya Paul Makonda

    Simjibu mtu natoa hoja
  9. P

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima, Balozi Polepole na usahihi wa kauli ya Paul Makonda

    Yote mawili
  10. P

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima, Balozi Polepole na usahihi wa kauli ya Paul Makonda

    Hitimisho langu ni kuwa watu wawili hao walikuwa jikoni na hawakuchukua hatua yeyote baada ya kutolewa ndio wakajifanya wanakemea Ni watu wa dili
  11. P

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima, Balozi Polepole na usahihi wa kauli ya Paul Makonda

    Kwa miaka mingi suala la utekaji na kupotea kwa watu si jambo geni kwa sisi tuliokula chumvi nyingi kwa sababu mbalimbali Kwa sasa msukumo mkubwa umekuja kwa kuimarika technology na vijana wengi wa 2000 kufikisha umri wa kupiga kura Siungi mkono jambo lolote linalokwenda kinyume cha katiba...
  12. P

    JamiiForums Tanzania Askofu Dkt. Bagonza na nukta za mashaka

    Nashukuru kwa kuelewa nini hasa lengo langu Nimemtaja Askofu Dr Bagonza specifically kwasababu mimi ni muumini wake kwenye hoja na maoni yake Sasa mambo yakitokea yenye ukakasi inatia shaka!
  13. P

    JamiiForums Tanzania Jamiiforums ipige life ban machawa wa ccm

    Ila machwa wa Chadema ndio wana haki ya kubaki humu? Kumbe JF ni ya Chadema?
Back
Top Bottom