Recent content by PeterwaPerer

  1. P

    Kutofanikiwa kwa maandamano ya Mo 29 , D9 na hatima ya Tanganyika

    Hakuna Kidawa mkristu? Mbona watu mmejigeuza miungu ya kuhukumu wenzenu Mkifanya nyinyi sawa mnaunga ushoga wazi wazi na kula hela zao ili kuleta machafuko nchini wakifanya wengine ni batili, lol
  2. P

    Rais Samia huu mkakati wako au wasaidizi wako dhidi ya Kanisa Katoliki (TEC) unatuangusha sana tunaokutetea na kutukanwa Mitandaoni

    Maelezo mengi utumbo mtupu TEC ndio walipaswa kusoma alama za nyakati Kina Mh Mwinyi na Kikwete ni half Islamic half Christian kwa maana ya masomo na mchanganyiko wa familia zao ni rahisi kuwa obedient kwa Catholic kuliko Mh Samia ambae makuzi na malezi yake ni aya na dua!
  3. P

    Ugumu zoezi la urejeshaji wa nauli za SGR

    Maana yake tusikatiwe nauli?
  4. P

    Tamaa ya Ngono, Adui Mkubwa wa Mwanadamu

    Sio tamaa ni maumbile ya asili
  5. P

    Wito kwa Jaji Warioba, Mangula, Butiku na wengineo Jitoeni kwenye CCM hii ya "Maokoto" Tujue kuwa nyie ni Wazalendo kweli!

    Mwanadamu anaweza kujinyonga, kunywa sumu n.k ili kujiua lakini anayejiua kwa kujikata kisu shingoni huyo ni next level. Uliloshauri haliwezekani Mwenye akili na ataelewa
  6. P

    Mnaotamani kuja Dar es salaam hii ndio dar yenyewe je! Mtaiweza?

    Wewe acha kutisha watu hata mikoani tabu zipo lukuki
  7. P

    Tetesi: Makosa 10 Lissu Mahakamani Jana, Apuyanga Sheria, Ni Kheri Alivyojivua Uwakili kwa Muda!!

    Maelezo meeengi hakuna hata la maana, mnataka kuficha mashahidi kwa sababu gani? Si wazalendo hao?
  8. P

    Ni kwanini hawezi kufanikiwa?

    Kila anayekuwa kwenye Urais hupingwa Nyerere aliepuka kupinduliwa mara kadhaa
  9. P

    2015 Baada ya Wapinzani kugomea Uzinduzi wa Bunge kupinga Maalim Seif kunyang'anywa Ushindi na kutoka nje, Zitto Kabwe alisalia Bungeni

    Zitto najua yupo humu, CDM ni watu wa propaganda kuchafua watu mitandaoni Toka sema, jitetee au tupe jukumu hilo sisi wengine tusio na upande tukusemee
  10. P

    GE2025 Wenyeji wa Mikoa ya Kaskazini Wana Haki ya Kuongoza Majimbo Yao

    Ukabila utawasaidia nini nyinyi watu wa kaskazini? Nchi inajengwa na Watanzania kwa pamoja Au mnadhani mnawapa utajiri?
  11. P

    Mwanangu wa kike wa chekechea kaniuliza "tutakaa kwenye nyumba ya kupanga hadi lini"?

    Mimi pia swali hili hunikumba sana, tunapigania na kupambana wakati tukisubiri kudra za Mungu
Back
Top Bottom