JF ya siku hizi kila mtu anaongea hisia tu
Kwa mtoa mada kulikuwa na shida gani hadi umeshindwa kuweka hiyo nyaraka ya siri au link tukajisomee wenyewe
Hata kama mnatufanya hamnazo humu jaribuni kuwa critical kuliko kuwa na ntantalila na hapa na pale
Suala la shutuma za ubadhirifu wa Heche na David Jumbe kuhusu hela za Chama na zenyewe zinawahusu CCM?
Inakuwaje siku moja tu baada ya kushutumiana kwenye kamati msaidizi wa karibu anauawa?
Wakuu umuofia kwenu!
Nawasilimu kwa jina la Tanzania......
Leo Watanzania wameionyesha dunia kuwa sio "cheap"
Watanzania huwa hawashirikiani na jambo wasilolijua mzizi wake, unaweza ukawanunua/wadanganya baadhi kwa mara ya kwanza ila hawawezi kurudia kosa!
Kongole na kazi iendelee
Nirudi...
Kwa miaka mingi suala la utekaji na kupotea kwa watu si jambo geni kwa sisi tuliokula chumvi nyingi kwa sababu mbalimbali
Kwa sasa msukumo mkubwa umekuja kwa kuimarika technology na vijana wengi wa 2000 kufikisha umri wa kupiga kura
Siungi mkono jambo lolote linalokwenda kinyume cha katiba...
Nashukuru kwa kuelewa nini hasa lengo langu
Nimemtaja Askofu Dr Bagonza specifically kwasababu mimi ni muumini wake kwenye hoja na maoni yake
Sasa mambo yakitokea yenye ukakasi inatia shaka!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.