Kuna mtu anajua ni nini kinaendelea hapa?

Kuna mtu anajua ni nini kinaendelea hapa?

Daah yaani hapo ndio wamestaarabika. Hali ilikuwa mbaya
Yaa serikali imeingilia kati sana kuwaelimisha waachane na hiyo chagulaga system, ilikuwa ni tabu sana enzi miaka ya 90 kurudi nyuma.

Hivyo haya mambo ukienda shinyanga,mwanza ,geita, simiyu ,mikoa ambayo inakaliwa na wasukuma kwa sasa hayupo.


Mimi ni msukuma,lakini nashangaa kuona utamaduni huu kwa Karne hizi, hata mavazi yao tu,mara ya kwanza kuona msukuma anavaa hivyo ilikuwa ni k ni mwaka 2010 nikiwa liwale-lindi baada ya kupangiwa ajira kwa mara ya kwanza,nilishangaa kuambiwa hawa ni wasukuma,Mimi nilijua ni wamasai
 
Hili ni kabla langu hila lina watu wa hovyo sana.
Chanzo kikubwa ni kukosa elimu.
Bora my Great grandfather alisomesha watoto wake.
La sivyo..
Ninyi ambao mmeelimika jitahidini kuwafumbua macho ndugu zenu taratibu tutafika
 
Mpanda mpaka Sumbawanga huku yametawala sana. Imefikia kipindi watendaji wa kata wametunga sheria ya hawa vijana wakionekana katikati ya miji wakifanya hiyo chagulaga ni kukamatwa na kuwekwa ndani maana wamesababisha madhara makubwa kwa raia wanaokutana nao njiani (Wakishangaa wanayofanya kwa watoto wa kike) kwakuwapiga na bakora wanazotembea nazo mpaka kuwapasua vichwa. Nadhani hizo bakora wanazipaka dawa
Duuh hii ni hatari sana
 
Yaa serikali imeingilia kati sana kuwaelimisha waachane na hiyo chagulaga system, ilikuwa ni tabu sana enzi miaka ya 90 kurudi nyuma.

Hivyo haya mambo ukienda shinyanga,mwanza ,geita, simiyu ,mikoa ambayo inakaliwa na wasukuma kwa sasa hayupo.


Mimi ni msukuma,lakini nashangaa kuona utamaduni huu kwa Karne hizi, hata mavazi yao tu,mara ya kwanza kuona msukuma anavaa hivyo ilikuwa ni k ni mwaka 2010 nikiwa liwale-lindi baada ya kupangiwa ajira kwa mara ya kwanza,nilishangaa kuambiwa hawa ni wasukuma,Mimi nilijua ni wamasai
Waendelee kuwaelimisha wataacha tu
 
Wasukuma hao,wapo sana pale Igunga

Vijiji vilivyo barabara kuu ya igunga singida utawaona wengi tu,na kuna tamaduni za wanawake/mabinti kutovaa nguo yoyote kifuani(kifua wazi na titi/chuchu saa sita)
Daah, Tanzania hiihii😁
 
Back
Top Bottom