Miaka ya utumwa wazungu walikuwa wanabadilishana shanga na kwa dhahabu za wwaafrika
Kwa sababu waafrika walikuwa hawajui thamani ya dhahabu
Waafrika waliona shanga ni kitu kikubwa sana kuliko dhahabu
Ndivyo anavyofanya shetani kwa sasa ananunua nafsi yako kwa umaarufu na pesa huku wew ukifikiri...
Umaarufu, utajiri unaoutaka utaupata lakini vina mwisho wake,kuna vitu vzuri zaidi ya hvyo ambavyo huwezi kuvipata kwa Lucifer.....
Na havina mwisho ni vya milele
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.