sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Yule mshambuliaji machachari sana toka nchini Ghana, Nicholaus Gyan, ambaye nchini kwake wanamfahamu kama King Goal ametamka kuwa yu tayari kutoa huduma kwa Taifa liltakalo muhitaji.
Namnukuu... “I have been rejected and maligned by my own people and wouldn’t mind playing for any country that approaches me. How can I miss out on the Black Stars B squad after scoring 11 goals in the season?”
USHAURI WANGU KWA MAYANGA:
Namnukuu... “I have been rejected and maligned by my own people and wouldn’t mind playing for any country that approaches me. How can I miss out on the Black Stars B squad after scoring 11 goals in the season?”
USHAURI WANGU KWA MAYANGA:
- KWAKUA, uwezo wa Gyan hauna chembe yoyote ya mashaka. Hii ni kutokana na rekodi zake machachari. Mfano ndani ya msimu huu katika ligi ngumu kabisa barani Africa, Ghana Premier League, jamaa alishatupia goli 11, assist 5 katika mechi 21.
- KWAKUA, kuna tatizo sugu na la mda mrefu la mpachika mabao katika timu yetu ya Taifa.
- KWAKUA, Gyan mwenyewe yu tayari kulitumikia taifa lolote.