We unaongea utumbo tu huna lolote je mchi za yanga unazihau si ndio kubali kuwa hizi tim mbili ndo tim kubwa hapa nchini kwaiy watafanya lolote liwezekanalo ili simba au yanga ishinde. Yan ukizitoa hizi tim mbil simba na yanga hakuna ligi mzee kwaiyo acha ushamba wa kijinga
Ni atari sana aisee mi nimefanya nao kaz kama miaka sita ivi sema mi nilikua kibur sana nlikua natukanana na boss kweny msg kama msela wangu tu kesho yake asbuh anawaita wale wazee waliokaa sana et wanisuluhishe aloo nlikua nawaleta sana akiongea na mi naongea kuna mda mwingine akitembea mi...
Wewe akili huna hujui mpira wew kama ni kushinda atashinda na kama sio kushinda hata shinda babu mbona wale waliotolewa na mnyama walishinda kwao mbili bila na wakaja kwa mkapa zikarudishwa. Kwaiy hata kama simba angeshinda jana zaid ya gol mbil huenda angeenda kutolewa tu kama amepangiw aende...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.