Recent content by Peter Stephano 809

  1. Peter Stephano 809

    JamiiForums Tanzania Ubinadamu ni Fumbo, Asikwambie Mtu

    Kuna wakati niliamini kila mtu aliyekaribu na mimi basi ananipenda na anaweza kuwa mtu mwema sana kwangu. Lakini baadae nikaja kugundua kuwa ukaribu na upendo ni mambo ambayo inawezekana hayana ufanano ingawaje yanakaribiana. Umenielewa? ndio ipo hivi, Unaweza ukawa na watu wengi unaoishi nao...
  2. Peter Stephano 809

    JamiiForums Tanzania Sababu baadhi ya Walimu kupoteza mvuto kwenye jamii

    Kabla ya Miaka ya 2000 thamani ya taaluma ya Ualimu na Waalimu ilikua juu ikielekea kufanana na ya wabunge na wafanya kazi wengine katika serikali. Enzi za nyuma waalimu walikua watu wa kusikilizwa na Kupewa Nafasi katika mambo mbalimbali ya kijamii hata pale mabishano yalipotokea Mwalimu...
  3. Peter Stephano 809

    JamiiForums Tanzania Katika kumuenzi Baba wa Taifa

    Suala la Siasa Safi Bado tunachechemea Sana Taifa Limekosa muelekeo sahihi wa siasa kana kwamba hakuna misingi ya siasa Ndani ya Taifa letu. Huwezi kuzungumzia siasa Safi pasipo kuwepo Uongozi Bora ambao ni "Utawala Bora". Siasa iliyo safi ni matokeo ya misingi bora ya Uongozi na Uongozi ulio...
  4. Peter Stephano 809

    JamiiForums Tanzania Unafiki wa kusubiri watu wafe tuwasifu unakera

    Imekuwa kawaida Sana pindi mtu anapofariki kupata sifa nyingi kutoka kwa wanajamii hasa wale waliomfahamu au hata kumsikia tu wakati wa uhai wake. Kwa dunia ya sasa yenye Utandawazi uliokithiri ukichagizwa na maendeleo ya huduma za mitandao ya "internet" tabia hii nayo imehamia mitandaoni. Kwa...
  5. Peter Stephano 809

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sababu wanaume kuwaua wake zao

    Amina
  6. Peter Stephano 809

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sababu wanaume kuwaua wake zao

    Kunakuwa na mijadala mingi Sana tena iliyokinzani pale ambapo inatokea mume amemuua mke wake wa ndoa. Sababu ambayo hukimbiliwa na wengi pasipo hata kuwaza sababu nyingine ni hii ya wivu wa mapenzi. sababu hii haitoshi kuwekwa kwenye kila tukio la mume kumuua mke wake. Kuna sababu kadhaa...
  7. Peter Stephano 809

    JamiiForums Tanzania Kauli za Viongozi wa Tanzania Zinakera

    [emoji23]
  8. Peter Stephano 809

    JamiiForums Tanzania Kauli za Viongozi wa Tanzania Zinakera

    "Tozo za miamala na simu ziko palepale, ni Sheria ya bunge siwezi kuzifuta, anayeona hakuna unafuu ahamie Burundi" Hii ni kauli yenye kukumbukwa iliyotolewa na Waziri wa fedha Mwigulu Nchemba tarehe 19, julai 2021 akihojiwa na ITV kwenye kipindi cha dakika 45. Maneno makali na ya kuudhi yaliyo...
  9. Peter Stephano 809

    JamiiForums Tanzania Tujifunze Kitu Kutoka Kwa Spiderman wa Bongo

    Siku za hivi karibuni ameibuka mtu anaevalia mavazi ya kujificha "Spiderman" ambae anazunguka mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam akikata mauno na kuuza vitu mbalimbali ikiwemo matunda na vitafunwa. Mtu huyu aliyepewa jina la Spiderman wa bongo amejizolea umaarufu mkubwa kutokana na aina...
  10. Peter Stephano 809

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hofu ya kuzeeka, Wasichana huolewa na yeyote

    Hivi sasa watafiti wengi wameonyesha kukubaliana na jambo hilo. Wanasema kwamba, wasichana wengi hubabaika na kufanya mambo yenye kuwaumiza kutokana na hofu kwamba, muda unakwenda haraka na watazeeka. Lakini pia huamini kwamba, starehe zitaisha. Watafiti hao wanasema, kutokana na maumbile ya...
  11. Peter Stephano 809

    JamiiForums Tanzania Serikali Ikubali Kuufumua Mfumo wa Elimu

    Kumekuwa na mjadala mzito wa kitaifa juu ya mabadiliko katika mfumo wa elimu nchini Tanzania. Wadau na makundi mbalimbali wanataka mabadiliko ya kina katika mfumo wa elimu ili kuufanya uendane na mfumo wa maisha ya Sasa. Ingawaje serikali bado inaamini kuwa mfumo wa elimu uliopo sio mbaya sana...
  12. Peter Stephano 809

    JamiiForums Tanzania Kisa Cha Zainab kisichafue Ujio wa The Royal Tour

    Filamu màarufu na mahususi kwa Kutangaza utalii nchini Tanzania "The Royal Tour" kwa mara ya kwanza itazinduliwa na kuonyeshwa huko New York nchini Marekani. Filamu hiyo ambayo inalenga kuinua sekta ya utarii imeandaliwa katika maeneo mbalimbali ya kitalii nchini kama vile Zanzibar, Kilimanjaro...
  13. Peter Stephano 809

    JamiiForums Tanzania Hofu, Malalamiko ya Makonda Mitandaoni yanafikirisha

    Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kupitia mtandao wa Instagram amechapisha akilalamika kuwa kuna makundi 5 ya watu wanaopanga kumuangamiza. Makonda amesema makundi hayo yanataka kuhakikisha anapata kesi ya uhujumu uchumi au auwawe kabisa kwa manufaa yao binafsi. "Nafahamu...
  14. Peter Stephano 809

    JamiiForums Tanzania Kinana akomalie mabadiliko ya Kifikra CCM

    Tusubiri tuone
Back
Top Bottom