Recent content by PETER 233

  1. PETER 233

    Rais hana hotuba mpya, zote zilipendwa!

    Tumeimarisha mapato ya tanzanite kwa kujenga ukuta Pili;Tunajenga flyovers hii itasaidia kupunguza foleni Tatu;Tumesaini kandarasi ya ujenzi wa reli(standard gauge) Nne;Tumeondoa watumishi hewa,kila sehemu ni hewa tunanyoosha nchi sasa Tano;Tumedhibiti upotevu wa madini. Sita;Tumenunua...
  2. PETER 233

    Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

    Kuku wangu wanakufa na dalili zinaanza wanakuwa kama vile mabawa yanaparalyze tatizo ni nini?
  3. PETER 233

    Namna ya kuangalia waliosoma text yako katika whatsapp groups

    Hii ipo kwenye GB WhatsApp nafikiri
  4. PETER 233

    GGM waitaka TANZANIA ishukuru kwa mapato wanayopata kutokana na mgodi huo

    Kama VP si wasepe tu,sisi masikini jeuri
  5. PETER 233

    Special thread;Kwa waombaji mkopo wa eliMu kupitia kupitia TSSF (Mfuko wa elimu ya juu).

    TSSF kwa kushirikiana na mfadhili wake anayeitwa CDF International kutoka Seattle, Washington, Nchini Marekani imeanzisha Mfuko wa Elimu ya Juu wa TSSF ambao utakuwa ukitoa ufadhili wa masomo ya shahada ya kwanza kwa wanafunzi wa elimu ya juu ambao hawana uwezo wa kujisomesha chuo kikuu na...
  6. PETER 233

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Mijitu mingine bana ukikosa kazi kamsifie hata mkeo kwa kukuna Nazi vizuri acha shobo
  7. PETER 233

    Papai langu linaumwa

    Nimekupata mkuu
  8. PETER 233

    Papai langu linaumwa

    Huo ni ugonjwa unaosababishwa na fungus control kwa kutoa matunda yaliyoathiriwa au ukate kabisa mti ulio na tatizo usiathiri miti mingine pia spray copper sulphate itakusaidia nenda Dukani utazipata.
  9. PETER 233

    Mshahara tarehe 20?

    Acha kupotosha mshahara bado
  10. PETER 233

    Mbunge Godbless Lema aliniponza kukaribia kufukuzwa chuo Kikuu mwaka 2011

    Kila siku unapost Uzi mpya Ila sijawah kuuelewa hata mmoja unalazimisha kiki
  11. PETER 233

    NMB yapandisha makato kwa wakopaji ambao ni watumishi wake

    Sio kila kitu ni cha kuhusisha masuala ya vyama badilika bwana mdogo,
  12. PETER 233

    Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali itaajiri walimu 4,000 wa Sayansi na Hisabati hivi karibuni

    Hiyo idadi ya walimu 4000 nayo ni ndogo kwa hiyo hata hao walimu wa sayansi kuna wengine watakosa ajira.
Back
Top Bottom