Mr Makunduchi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 995
- 492
Sawa dsm kubwa mie nataka nikaguwe huwo mpapai wapi ulipodsm mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa dsm kubwa mie nataka nikaguwe huwo mpapai wapi ulipodsm mkuu
We papai lako halijaingiliwa na dyudyu?Mawazo ya sisi watanzania bwana...mtu kasema papai watu wanaimagine mapapai yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana babu unataka ulitibu?We papai lako halijaingiliwa na dyudyu?
Eeenh... mi ni dokta wa mapapai.
mnanichekesha etiPapai kwa maana ipi? Papai kwa maana ya kibailojia ni tunda, sasa linawezaje tena kutoa matunda? Nijuwavyo mimi kwenye papai la mti wa mpapai hutoa mbegu.
Ili lazima litakuwa papai kwa lugha ya picha.
asante mkuu .Huo ni ugonjwa unaosababishwa na fungus control kwa kutoa matunda yaliyoathiriwa au ukate kabisa mti ulio na tatizo usiathiri miti mingine pia spray copper sulphate itakusaidia nenda Dukani utazipata.
Njoo kwangu tulikague kwanzawakuu niliotesha papai langu Mungu mkubwa limeota vizuri na limetoa matunda ya kutosha .sasa hivi sijui limepata majanga gani matunda yote yapo kama yamemwagiwa unga unga hiv,
naombeni ushauri. nilitibu vipi?
Ndio Mkuu wangu, ni Mpapai mmoja tu umejiotea home kwa ajili ya kulakweli mkuu?
Uliotesha au umejiotea?Ndio Mkuu wangu, ni Mpapai mmoja tu umejiotea home kwa ajili ya kula
Umejiotea tu wenyeweUliotesha au umejiotea?
Sent from my TV