Recent content by Pesa karatasi

  1. Pesa karatasi

    Uchambuzi wangu kuhusu vituo vya redio vya Mwanza

    Tangu anguko la RFA kutokea kutokana na kutosikika kwa watangazaji mahiri niliokua na wakubali...hata sina muda tena hizi zilizo ibuka jana,maisha yanaenda kasi sana
  2. Pesa karatasi

    Maajabu ya MV Nyerere; michango ndio iliyolipa wafiwa na wahanga, na watoa huduma kujilipa laki 4 kila mtu. Serikali haijatoa chochote mfuko wa maafa

    Kweli ni awamu ya tano..inayotumia rambirambi za wanyonge kutekeleza ilani ya chama !! Hapo ni sawa na kula SADAKA,..Shame on you:mad:
  3. Pesa karatasi

    AIRTEL TANZANIA nyie ni wapuuzi!!.

    Mtandao wa kiboyaa ata sikumbuki lain yangu IPO wapi..
  4. Pesa karatasi

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi waliopokea matokeo ya kidato cha nne 2018

    duh..! Pole hapo comb hazijakaa sawa,kibaya zaid F ya history.. uskate tamaa jiendeleze,soma unachopenda VETA upate ujuzi ili umudu changamoto za maisha,au kama nyumbani wako vizur kua mjasiriamali tu
  5. Pesa karatasi

    WCB kwanini wanamtenga sana Richmavoko?

    Jamaa anajuaa kinoma..halaf sio MTU ya kiki za kijinga..!!
  6. Pesa karatasi

    Diva amwagwa hadharani na Heri Muziki mbele ya watangazaji wenzie, ataka kuzimia

    Akome naye kushobokea vitoto vilivyokuzwa kwa kuku wa kizungu na chips..!
  7. Pesa karatasi

    Uvaaji wa mavazi haya ni ulimbukeni wa kiwango cha juu sana

    uandishi wako, neno " X-mass" unatia kichefuchefu
  8. Pesa karatasi

    Mizinga ni Janga la Mapenzi!

    Kweli hii itasogeza masaa..,siku iishe
  9. Pesa karatasi

    Rais Magufuli ajiuzulu uenyekiti wa CCM

    Mkuu hao acha nao kabsa,hata wanaokimbilia huko ni fyatu kichwani..! walimu wana kero kibao tena vijijini ndo usiseme,lakn juzi ndo wanajikombakomba hata viongozi wao ndo ovyo kabsa,zile million 50 ndo kabsa..mafungu yanapgwa juu kwa juu na akina bashite na muro na lile jamaa kubwa ila akili nukta
  10. Pesa karatasi

    Usipoteze muda kijana, anza familia yako, maisha ni mafupi sana zama hizi.

    Suala la kuanzisha familia au kua na mtoto ni uamuzi wa mtu,tena huwezi kumshauri kama fikra zake haziko tayari kupokea suala hilo,kila mtu apambane na hali yake.
Back
Top Bottom