REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,449
- 9,372
Rich mavoko anajua zaidi ya diamond, wanaogopa kumpa sana promo kuwa atakuwa na hit nyimbi zaidi ya boss, kina mda diamond aliaanza kutoka katika tune take akaanza muiga rich mavoko
Hahaha! Nimeshangaa sana, hawa watu wana stress! Huyu mavoco ambaye sikuhizi passport yake imechafuka mihuli ya viza wanaona anatengwa, hakya nan wabongo wanatamani mavoco afulie sasa, nimeaminiMara hii wcb wamekua wanatoa verifications za instagram
Eti eeh! Mda gani, Daimondi alimkopy mavoco?Rich mavoko anajua zaidi ya diamond, wanaogopa kumpa sana promo kuwa atakuwa na hit nyimbi zaidi ya boss, kina mda diamond aliaanza kutoka katika tune take akaanza muiga rich mavoko
Mkataba wa Rich Mavoko na WCB ukoje!? Tuanzie hapo kwanza, PILI.. Msanii chini ya WCB kama akifanya vizuri basi hata WCB wao wananufaika kwa hilo iweje sasa wamsaign then wammbanie wakati kila kitu kinafanywa chini ya label... Sidhani kama WCB wanaweza kuwa na mtu kama Rich Mavoko alafu awe mzigo kwao.. Diamond mwenyewe anamkubali sana Mavoko hadi anamwita Lionel Messi wa Bongo freva. It's just the matter of program under WCB and himself over social networksRich mavoko anajua zaidi ya diamond, wanaogopa kumpa sana promo kuwa atakuwa na hit nyimbi zaidi ya boss, kina mda diamond aliaanza kutoka katika tune take akaanza muiga rich mavoko
Hiyo insta waniotoa kwa mmiliki wa account baada ya kujiridhisha ni Public fugure, Artist na brand fulani kama authenticity.Hizo tiki hatoi daimond bana,,
Kuna watu insta wana followe laki tu lakin wana tiki,,sijajua ni vigezo vipi wanatumia
Can I request a verified badge for my profile?Hizo tiki hatoi daimond bana,,
Kuna watu insta wana followe laki tu lakin wana tiki,,sijajua ni vigezo vipi wanatumia
...ulikuwa unaenda vizuri tu na kiswahili,Namkubali sana Rich mavoko.... Anakila sifa ya kuwa msanii... jamaa haishi kwa kiki... mziki wake ndio unamuweka hewani tofauti na wana wcb wengine... He's real Gentlemen.....kama wizkid
Yule muimba kaswida inabidi arudi MadrasaMimi naona anayetengwa ni lavalava ila mavoko mbona wako bega kwa bega...
Kama ndivyo, kwanini walimchukua in the first place? Btw, hiyo promo unayoisema ni promo ya aina gani? Btw, unaweza kutoa mfano wa wimbo ambao Diamond alimwiga tune Mavoko?Rich mavoko anajua zaidi ya diamond, wanaogopa kumpa sana promo kuwa atakuwa na hit nyimbi zaidi ya boss, kina mda diamond aliaanza kutoka katika tune take akaanza muiga rich mavoko