Recent content by perfect_rahym

  1. perfect_rahym

    Msanii Roma aishukuru serikali kwa jinsi ilivyoshughulikia suala la kutekwa

    Aaaah anazinguwa nae ameshakuwa mwanasiasa porojo nyingi ameshindwa kutufumbua macho watanzania bwege huyo
  2. perfect_rahym

    SEHEMU ZA SIRI!!

    perfect_rahym_TZA Kama umeshiriki tendo la ndoa na zaidi ya watu 10 huwezi kukiita kiungo hicho SEHEMU ZA SIRI Bali ni mali ya UMMA chini ya wizara ya utalii na burudani Kama ni zaidi ya watu 25 basi ni Mali ya UMOJA WA MATAIFA kitengo cha msaada Halahala ndugu kama ni zaidi ya watu 50...
  3. perfect_rahym

    Kauli ya kuwa nyuma ya kila mwanaume aliyefanikiwa kuna mwanamke shupavu ni uongo

    "eti KILA MWANAUME ALIYEFANIKIWA NYUMA YAKE KUNA MWANAMKE SHUPAVU". Hii ni kauli inayolenga kupotosha jamii, haina ukweli wowote kwa karne hii ya 21 iliyojaa wanawake wanaowaza kuwa na waume waliofanikiwa kuliko mafanikio yao binafsi na kuwawezesha waume zao kufanikiwa . Naomba muipinge na...
  4. perfect_rahym

    SIMBAAAAAAAAAA

    Aaaah ile miwa haikuwa salama na ndio maana hatukuila
  5. perfect_rahym

    SIMBAAAAAAAAAA

    Ngurumo zake ni zaidi ya Ngurumo zote uzijuazo wewe duniani swala kajipendekeza tumetafunaaaa
  6. perfect_rahym

    Ushauri kwa Diamond Platnumz

    Na Saleh Ally NARUDI nyuma kidogo, nataka kukumbusha namna ambavyo niliwahi kuandika kuhusiana na namna ambavyo mwanamuziki Nasibu Abdul, maarufu kama Diamond, kwamba ameanza kukosea vitu kadhaa, hasa kuiga video za wasanii wengine. Nilieleza kwa mifano ya picha namna ambavyo Diamond aliiga...
  7. perfect_rahym

    Hili la Nape kupita kwenye migongo sio udhalilishaji kwa Mama zetu?

    Swali kwa mtoa Mada kwani Nape aliwaomba hao wakina mama walale au wao wenyewe ndio waamuzi?????
  8. perfect_rahym

    VIDEO: Msanii Roma na wenzake warejea rasmi uraiani. Kufunguka Jumatatu

    ???????????????????????????? Napata shida Pale ninapo tafuta jibu la swali rangu na kwanini ROMA pekee ndio anaonekana mwenye kuumia??????? Daaaaaaaaaah ata sijuwi wapi TANZANIA inapoelekea ACHA NIKAE KIMYA Lakini Mh!!! Hapana WALIKUWA WAPI WAKINA ROMA???????
  9. perfect_rahym

    HARMORAPA vs WEMA raha sana

    Alichojibu Harmorapa baada ya Wema Sepetu kumtolea nje ombi lake Perfect rahym TZA Siku kadhaa zilizopita staa wa Bongo Fleva Harmorapa aliweka wazi kumzimia staa wa Bongo movies Wema Sepetu baada ya kudai anaweza kumgharamia kwa kila kitu na baadaye April 5 2017 Wema Sepetu kupitia Instagram...
  10. perfect_rahym

    Tigo na voda bwaana, wameamua wafiche vifurushi, wakafikiri hatutawaona *149*48#

    [emoji24] [emoji23] [emoji23] [emoji23] asee ujanja juu ya ujanja
  11. perfect_rahym

    Lipi kosa la Harmorapa? Kumpenda Wema Sepetu?

    Hahaha hivi Kuna aliekuwa anamjuwa IDRIS Mchizi kapiga pesa BBA kurudi bongo haka kabinti kameshoboka kwahiyo rapa harmo angetakiwa kusaka mkwanja afu baadae akaja tangaza nia mbona mwenyew angeshoboka kwani Wema ana ugumu gani mbele ya mkwanja
  12. perfect_rahym

    Natauta mwanaume mwenye mapenzi ya kweli

    Daaaah natamani kaumri kangeshuka kidogo hivi!!!!
  13. perfect_rahym

    Lipi kosa la Harmorapa? Kumpenda Wema Sepetu?

    Asa hayo mambo ya chadema yamefata nini kwenye jibu La mtu akikutaka kimapenzi
  14. perfect_rahym

    Lipi kosa la Harmorapa? Kumpenda Wema Sepetu?

    Yap yeye kama star hakutakiwa kujibu chochote angekausha tu
Back
Top Bottom