Recent content by perfect 12

  1. perfect 12

    Rais wetu anazindua ukuta wa Mirerani, Kazi za mawaziri ni nini? Kwani kuzindua ni lazima?

    Aangalie Vya kufanywa kwa hadhi yake sio vidogo vidogo
  2. perfect 12

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo singida Nije Mwanza ,idara msingi
  3. perfect 12

    Inauma sana: Mke wa jirani yangu anachepuka

    Duuuu ,majitu humu yananyoika hatari ,jamaaa labda nae alitaka apite na 100 kakuta mchepuko unasachi samaki bwawani ndo maana imemuuma
  4. perfect 12

    Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

    Unasifia sura we kuku kweli mwanaume kz
  5. perfect 12

    Asante Azam kwa kuifunga Simba

    1.3 billion mlosajili ni bureeee kbs mnasajil majina na sio uwezo mkiona mchezaji amecheza MECHI moja vzr mnamtolea macho ,pambaneni na hali zenu koko nyie
  6. perfect 12

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kona ya kubadilishana vituo Vya kazi mkoa, wilaya Njooo mwalimu unasubiri nn muda haukungoji weka namba yako hapa upate mawasiliano Kwa urahisi
  7. perfect 12

    Ndoa ya Irene Uwoya, Marufuku kuingia na simu Ukumbini

    Huyu sasa kaahakongoroka kila kona mtu kaamua kutoa nuksi
  8. perfect 12

    Prof Lipumba: Nimestaajabishwa na uteuzi wa Profesa Luoga

    Lipumba nae nafasi Hiyo inamuuma alijua atapewa zawadi ya ushindi ,kumbe mkuu hajamuweka kbs akilini mwake,Unajua nn ukitumiwa ktk ishu fln ovu jua huyo mtu hatakuamin tena kwa SBB kakujaribu ukajaribika vzr Cna,pole Lipumba kwa ndoto zako mfu.
  9. perfect 12

    Polisi FFU Ukonga nimewakosea nini? Nimepigwa mimi,mke wangu na Mama mkwe bila kosa lolote. Nifanyaje kuchukua hatua?

    Duuu we tulia tuuu msaada na haki hutaipata ,tibu majeraha na uchape kazi sawa mwananchi huru
  10. perfect 12

    Mke napiga goli moja, mchepuko mpya goli 3-4 kwanini?

    Mchepuko Unajua kutoa vzr xn kuliko mkeo
  11. perfect 12

    Am sick and tired, mchumba wangu hataki kuniona

    Huyo c wako kashadandiwa na wanaume.
Back
Top Bottom