Rais wetu anazindua ukuta wa Mirerani, Kazi za mawaziri ni nini? Kwani kuzindua ni lazima?

Kwa mawazo yangu naona rais anazindua vitu vidogo vidogo sana kulingana na hadhi na heshima ya urais. Kwanza kwani lazima kinachojengwa kizinduliwe? Kuzindua kunasaidia nini?. Ningeelewa kama rais anafungua reli au mradi wa umeme wa Stiegler's Gorge lakini kufungua tawi la Benki ya CRDB, Nyumba za familia 12 za polisi, ukuta wa Mererani, barabara ya Bukombe kuifungua tena(ilishafunguliwa na kutumika enzi za Kikwete), Kiwanda cha vinywaji cha Sonoma, prince pharmaceutical, kiwanda cha Alizeti, Singida(Hiki kilifungwa kwa kufanya makosa tangu 2012), nyumba za NHC Iyumbu Dodoma nk siyo muhimu rais afungue.......Kwani kazi za mawaziri au wakuu wa wilaya na mikoa ni nini? Je ni kwa vile huyu rais hasafiri sana nje hivyo anataka kupata per-diem? Au anataka aonekane ni yeye ni jack of all trade, ajenge publicity?
Kitendo cha wananchi kutoka sehemu mbalimbali kukusanywa na daladala kupelekwa airport ili wakamshangilie rais wakati anapokea ndege moja halafu baadaye wanapandishwa ndege kwa level seat ya watu 72 halafu wanashushwa wapandishwe wengine tena washushwe hadi kila mtu awe amepanda naona kama tunajichora na tunaonekana bado tunaishi gizani na kuabudu vitu vidogo vidogo. SASA WATU WANAPANDISHWA KWENYE NDEGE HALAFU WANASHUSHWA ILI WENGINE WAPANDISHWE ILI IWEJE....MBONA SIJAONA WALA KUSIKIA UTARATIBU KAMA HUU SEHEMU NYINGINE DUNIANI?? Sijajua nia yake.
China imenunua ndege 300 kutoka Boeing zimeletwa kwa awamu, sijamuona Xi Jianping akiwa airport akizipokea.....Sisi ATCL ikinunua ndege 25 rais atakwenda uwanjani mara 25? Kwanini rais hawezi ku-delegate kwa mawaziri aliowachagua? Kila kitu hata kiwe kidogo anakimbilia kufanya yeye? Yeye ni rais wa nchi vitu vingine ni vidogo mno kukimbizana kwa level yake, awaachie aliowachagua....akizindua miradi mikubwa mikubwa naweza kumuelewa japo si muhimu.
Kuzindua, kufungua au sijui kuweka jiwe la msingi ni formality tu, ni nchi chache zinafanya hivyo. Ni mawazo yangu, naomba wakereketwa msinitukane nielimishwe tu kama ni muhimu kwa nchi yetu miradi midogo midogo kufunguliwa na rais. Asanteni kwa kunisoma

Kamatia JPM. Inaonekana umepatia panapouma. Minya. Bonyeza. Wape Dawa. Kimya kimya. Hawana mada wala hoja. Wanajitekenya. Wanacheka. Ushauri. Tuambieni Sera zenu jamani. JPM tunajua anafanya nini. Someni ILANI yao. BADALA YA KUONA KUWA ZAMANI ILIKUWA MANENO. SASA MANENO THEN ACTION. WE UNAONA UJINGA WAKO. HAPO TO UKIAMBIWA MJINGA UTASEMA UNAONEWA. UNAONA MBELE YA PUA YAKO TU. Issue hapa ni „YAMETIMIA“ kweli hapa kazi tu. Lakini we umeona Ngoja uaadvertise your stupidity and enviousness.
 
Duh wa Tz hatuna dogo kila kitu kusema,kwani shida nini kama anapata nafasi
Ila kwa Raisi kwenda kuzindua ukuta au kupokea ndege moja ndogo kwa mbwembwe na gharama zote zile, haingii akilini vizuri. Pengine mkuu hana kingine cha kufanya na hivyo ni lazima atoke. Ila tukifikiri nje ya boksi kuna vitu ni vya kawaida sana, hizo nyumba hata RPC angeweza zindua tu.
 
Kumbuka mikoa ya kanda ya ziwa ilikuwa imesahaulika kwa miongo mingi,ndio maana wananchi wa kanda hii walimpigia kura kwa wingi.
Lindi na Mtwara nao watasemaje kama unaona Mwanza ilikuwa imesahaulika?
 
Unagemjua aliyeagiza kujengwa ukuta huo ili kuzuia utoroshaji wa madini wala usingeuliza.
Kuagiza ujengwe haina maana hawezi kumtuma waziri wa madini, a president should behave like a statesman.
 
Kwa mwendo huu wa uzinduzi msishangae kusikia ameenda kuzindua choo cha shimo cha matundu 12 !
 
Ukuta wa kulinda tanzanite ni kitu kidogo??? Duh!!!kweli akili sisimizi mnatuchosha humu
GGM, Tulawaka, Resolute, Buzwagi n.k., kote kuna/kulikuwa na kuta, lakini bado 'wanaume' walituzidi ujanja. Mkiitwa wajinga, mnakasirika.
 
mwishowe huu utawala utagundulika kama moja kati ya tawala za kifisadi zaidi kutokea tz
 
Kwa mawazo yangu naona rais anazindua vitu vidogo vidogo sana kulingana na hadhi na heshima ya urais. Kwanza kwani lazima kinachojengwa kizinduliwe? Kuzindua kunasaidia nini?. Ningeelewa kama rais anafungua reli au mradi wa umeme wa Stiegler's Gorge lakini kufungua tawi la Benki ya CRDB, Nyumba za familia 12 za polisi, ukuta wa Mererani, barabara ya Bukombe kuifungua tena(ilishafunguliwa na kutumika enzi za Kikwete), Kiwanda cha vinywaji cha Sonoma, prince pharmaceutical, kiwanda cha Alizeti, Singida(Hiki kilifungwa kwa kufanya makosa tangu 2012), nyumba za NHC Iyumbu Dodoma nk siyo muhimu rais afungue.......Kwani kazi za mawaziri au wakuu wa wilaya na mikoa ni nini? Je ni kwa vile huyu rais hasafiri sana nje hivyo anataka kupata per-diem? Au anataka aonekane ni yeye ni jack of all trade, ajenge publicity?
Kitendo cha wananchi kutoka sehemu mbalimbali kukusanywa na daladala kupelekwa airport ili wakamshangilie rais wakati anapokea ndege moja halafu baadaye wanapandishwa ndege kwa level seat ya watu 72 halafu wanashushwa wapandishwe wengine tena washushwe hadi kila mtu awe amepanda naona kama tunajichora na tunaonekana bado tunaishi gizani na kuabudu vitu vidogo vidogo. SASA WATU WANAPANDISHWA KWENYE NDEGE HALAFU WANASHUSHWA ILI WENGINE WAPANDISHWE ILI IWEJE....MBONA SIJAONA WALA KUSIKIA UTARATIBU KAMA HUU SEHEMU NYINGINE DUNIANI?? Sijajua nia yake.
China imenunua ndege 300 kutoka Boeing zimeletwa kwa awamu, sijamuona Xi Jianping akiwa airport akizipokea.....Sisi ATCL ikinunua ndege 25 rais atakwenda uwanjani mara 25? Kwanini rais hawezi ku-delegate kwa mawaziri aliowachagua? Kila kitu hata kiwe kidogo anakimbilia kufanya yeye? Yeye ni rais wa nchi vitu vingine ni vidogo mno kukimbizana kwa level yake, awaachie aliowachagua....akizindua miradi mikubwa mikubwa naweza kumuelewa japo si muhimu.
Kuzindua, kufungua au sijui kuweka jiwe la msingi ni formality tu, ni nchi chache zinafanya hivyo. Ni mawazo yangu, naomba wakereketwa msinitukane nielimishwe tu kama ni muhimu kwa nchi yetu miradi midogo midogo kufunguliwa na rais. Asanteni kwa kunisoma
Hasara tunayopata ni kubwa. Ofisi za serikali zinafungwa kwa mawaziri kwenda uko. Barabara zinafungwa, watu wanasombwa kutoka makazini hivyo huduma za maendeleo zinasimama. Huyu jamaa ni balaa na wasaidizi wake ni waoga na wachumia tumbo, wapenda vyeo, wabinafsi
 
Angekuwa anakaa tu waithaisi pia mgesema mbona hatoki anakaa ndani km hirizi.
Angejaribu kuwa a bit strategic, he is too operational kwa level yake. Siku hizi level ya urais ni almost kama CEO, sio kufanya day to day activities, its just too low.
 
Lindi na Mtwara nao watasemaje kama unaona Mwanza ilikuwa imesahaulika?
Chini ya uongozi wa awamu ya tatu na ya nne Lindi na Mtwara zilibebwa sana barabara madaraja uongozi huu umewapandishia bei ya soko la korosho.korosho imekuwa dhahabu.
 
Mwaka huu mtatokwa na upepo makalioni hadi muombe poo!! Mafuta yanakanyagwa sio kipolepole,Hawa wachaga wana hali ngumu round hii ma--a--ma--ke.
Your knowledge of Strategic Management is non existent ndio maana unaona kawaida kwa mkuu wa nchi kufanya day to day operational activities.
 
Your knowledge of Strategic Management is non existent ndio maana unaona kawaida kwa mkuu wa nchi kufanya day to day operational activities.
May be yu'r right cause you dont know me who im,bado hamna pema hata siku aje ajichimbie ikulu miez na miezi bado mtatapika ya kutapika,mmeshazoeleka.
 
Chini ya uongozi wa awamu ya tatu na ya nne Lindi na Mtwara zilibebwa sana barabara madaraja uongozi huu umewapandishia bei ya soko la korosho.korosho imekuwa dhahabu.
Serikali haijawahi kupandisha bei ya mazao ya Biashara nchi hii, na ndio maana msimu uliopita mbaazi za manyara zilikosa soko baada ya mnunuzi mkubwa (India) kuwa na kiasi alicholima kinachowatosha. Kinachoamua bei ni wanunuzi (Soko) na serikali ilishawatelekeza wakulima miaka mingi sana iliyopita.
 
Back
Top Bottom