Recent content by PERAMIHO YETU

  1. P

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Hivi Vitendo Visivyofaa kwenye mpira wetu vidhibitiwe na vichunguzwe

    MAALIM kabisa huyu dah hal bas n tete yule wa taifa stars zaman kabla ya gamond vp naye nasikia ana umende mende
  2. P

    JamiiForums Tanzania Wazee kama Wasira ni hasara kwa Taifa

    Nasikia siku hiz anavishwa pampas hali nbaya
  3. P

    JamiiForums Tanzania Chai ya nazi

    Njoo hapa tanga barabara ya 7 kwa bi mwantumu anaiwezea SANA hii chai Tanga
  4. P

    JamiiForums Tanzania TBT

    Ipo wazi RUNGU LA KOMREDI.KIPEPE
  5. P

    JamiiForums Tanzania Kwa yaliyojitokeza kesi ya Lissu dhidi ya Bwana Jela, kesi ya Lissu ya uhaini yapaswa kuwa "mistrial au annulment of trial", yaani najisi ya kutupwa!

    Hahaha vp Ile unakata roho huko kwa sir God unapewa bikra 72 Kati Yao sa100 naye yumo vp itakuwaje mkuu so utapiga MIGUU yote kwa hasira?
  6. P

    JamiiForums Tanzania Kwa yaliyojitokeza kesi ya Lissu dhidi ya Bwana Jela, kesi ya Lissu ya uhaini yapaswa kuwa "mistrial au annulment of trial", yaani najisi ya kutupwa!

    Mbona magufuli alimfunga mbowe naye muislam Shida hapa n mfumo kaka fikiria mwigulu awe RAIS itakuwaje?
  7. P

    JamiiForums Tanzania Vijana wa CHASO Mbeya nao wabambikiwa ugaidi

    Nadhan sasa n Bora zaid kutawaliwa na mkoloni KULIKO hawa CCM n janga linalovuka mipaka tambueni hao mnaowabambikia kesi n watoto wetu majiran zetu wnafunz wetu marafiki zetu pia Hvyo kila mmoja anaguswa.hapo juu maana yake chuki hii inasambaa taratibu kwa Kila mtu Viongoz wenu tena wa kata...
  8. P

    JamiiForums Tanzania Msigwa : Mlipochangishana pesa kwa ajili ya kampeni ya uchaguzi waliowachangia walikuwa wajinga?

    Hii nchi mtu akipata teuz bas anaona wale walio nje ya mfumo n mafala TU hawana kitu Amesahau kampen za 2025 chama chake kilichangisha pesa kwa ajil ya uchaguz na WATU wakachanga lakn hakutoka kuwabeza wachangiaji Leo chadema wanachangishana anatoka na kuwaona wanaochanga mafala wajinga na...
  9. P

    JamiiForums Tanzania AZAM FC Msimu 2026-2027 tunawadai ubingwa sajili zenu zinaakisi hivyo

    Kiukwel naona kabisa mabos pale viunga vya Chamaz wamechafukwa sana sio kwa sajili hizi tunazoziona Wana kocha MZURI mwenye uzoefu wa kutosha na soka la vilabu AFRIKA hii amefundisha timu kubwa ukanda.wa UNAF Mwaka wa kwanza ulijifinza tamadun la soka la kitanzania sasa msimu huu tuna den nawe...
  10. P

    JamiiForums Tanzania Balozi wa Sweden, Charlotta Ozaki Macias afika JamiiAfrica kuaga Rasmi

    Naona mh baloz anaujapan fulan pia Ila.hongera MELO.unaifanya jf kuwa reputable organization hasa katika uso wa MABEBERU na MAGEGEDU
  11. P

    JamiiForums Tanzania Kingwendu alikuwa tofauti sana. Tukio lake limewahi kufanywa na watanzania watatu tu toka uhuru

    Alivyofika std 7 alitoboà au alizungusha tena
  12. P

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya Visa ya China Tanzania: Tatizo ni Madalali, Sio Ubalozi

    Kwanza waongeze idadi ya watu Toka 50 had 200 kwa siku Pili waweke mfumo MZURI hata wa kuwa na afisa agawe kad maalum zenye finger print ili kuzuia mtu mmoja.kuhodh kad NYINGI Bongo kila mtu mpigaji
  13. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto Amteua Charles Owino kuwa Msemaji Mpya wa Serikali, Isaac Mwaura Apandishwa Cheo

    Acha makasiriko mkuu we unajua jukwaa hili n kwa ajil ya WATANZANIA tu
  14. P

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo ni kama Azam tu na CHAUMMA ni kama Singida Black Stars

    NCCR.MAGEUZI n kama lipuli ya iringa kwa.sasa ADA TADEA..ni kama majimaji ya songea Lakn CCM wanataka kuonesha kuwa hivi vyama vingine vinanguvu sawa na chadema Swali n Moja TU kama. CHADEMA hawataki maridhiano so waridhiane na ADA TADEA SAU UPDP TLP mbona hawaridhiani ?
  15. P

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali irekebishe Kanuni hizi, zinatuzuia wenye Diploma za Medicine kusomea Degree

    Vijana wengi huwa wanakurupuka.kusomea vitu ambavyo baadaye huwaletea shida kwakukosa ufahamu Mfano unasomea CO (clinical officer) lengo lako kuwa daktar baade Lazma uangalie vigezo vya udaktar vipoje hapo baadaye utakapotaka kusomea Ishi kwa malengo ya mbele lazma ujue na kwa sasa vigezo...
Back
Top Bottom