Huu uzi siku hizi umepunguza REPLIES kwa sababu sijui bado jamiiforum imefungiwa bado? Japokua zuio lishaisha muda wake, ingekua kabla ya kufungiwa ungeshajibiwa zamani sana, labda kuwa na subira wadau watakuja japo kwa kuchelewa😔
Kwenye mapdf ya afya msidhani wote wale ni afya, muwe mnafatilia wale jamaa ni wahasibu lakini wamechanganywa kwenye pdf za afya, kwakua nilikua nimeshaathilika na kuangalia pdf ndo nikawa napitia pitia na kuwaona, na mmojawapo bila mimi sidhani kama angeona pdf maana hata sehemu ya kuangalizia...
Database inafanya kazi, kuna jamaa nilifanya nao usaili TANAPA hawakuitwa kazini, lakini juzi wamepangiwa sehemu nyingine wakiwa wameshakata tamaa🤗Tuzidi kupambana wazee na tusiache kuhudhuria usaili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.