Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Fubo linanitesa ila mbwai mbwai tu 😂Utamu ni mechi ya tatu😃😃😃ndo inaanza kesho hiyo Round😃😃
Fubo linanitesa ila mbwai mbwai tu 😂Utamu ni mechi ya tatu😃😃😃ndo inaanza kesho hiyo Round😃😃
Ile account yako ya pili ipo leta tuongee bei😃😃Dadeq ebu nije
Fresh tu mkuu, karibu.Wakuu ni aje
Unamaanisha kwenye DLS?kwenye kucheza career pale unapoambiwa uongeze uwanja ili ucheze daraja linalofuata unafanyaje, maana najaribu ila wapi, au coin zangu ndogo?
Huji wewe kunguru 😂Dadeq ebu nije
Yeah mkuuUnamaanisha kwenye DLS?
Daah! Kwenye DLS sielewi kitu mkuu labda SelikavuYeah mkuu
Karibu mkuuWakuu ni aje
Dls hili😃😃😃kwenye kucheza career pale unapoambiwa uongeze uwanja ili ucheze daraja linalofuata unafanyaje, maana najaribu ila wapi, au coin zangu ndogo?
Kuna level ya uwanja unatakiwa ifike ile upande daraja sasa namna mzuri ya kujenga ni kujenga jukwaa moja moja level ya mwisho hii inakusaidia kujenga uwanja kwa gharama nafuu kwahiyo unaanza na zile Kona nne kila moja unaweka level ya mwisho then unahamia sehemu nyingine ile auto build inamaliza sana coins....kwenye kucheza career pale unapoambiwa uongeze uwanja ili ucheze daraja linalofuata unafanyaje, maana najaribu ila wapi, au coin zangu ndogo?
Mimi tokea kibonde wangu Fene alivyopotea nikaifuta DLS naendea mwaka na kitu sijagusa sasaKuna level ya uwanja unatakiwa ifike ile upande daraja sasa namna mzuri ya kujenga ni kujenga jukwaa moja moja level ya mwisho hii inakusaidia kujenga uwanja kwa gharama nafuu kwahiyo unaanza na zile Kona nne kila moja unaweka level ya mwisho then unahamia sehemu nyingine ile auto build inamaliza sana coins....
Ila pia huu uzi ni wa efootball kuna uzi special wa Dls upo me nimestaafu nina mwaka sasa sichezi DLS
Fene DR SANTOS adriz mtu wenu huyu😃😃
Tumia tigo ipo fresh unaweza pigiwa na ukaendelee kucheza huku unaongeaWakubwa na mimi eFootball ishaniteka bhna 😅 hivi hmna namna ya kufanya ili ukiwa unaubonda na mtu simu ikipigwa isikatishe game lako au mpaka Wifi tu
Zinagoma huku Jf au??Mm pacha zinagoma ku upload mnagusaje wakuu ebu niwafuate tu mlipo