Recent content by patricl

  1. patricl

    Nilitamani kuyajua haya - Ajira Mradi wa Bwawa la Umeme la Nyerere (Part - III)

    Mchina unampelekea vyet hahahahha acha upumbavu Sasa na tuvyet vyako ole wako ukose ujuz nakuapia utaenda kupamba kwenye kabati la nguo kwenu!
  2. patricl

    Mbona Lindi iko unpopular sana? Shida ni promotion au wakazi?

    Baaaa Lindi si lelemama kuishi kuleeeeee ukikaaa kule hakikisha unamwichi mzurii
  3. patricl

    Tetesi: Yawezekana hiki ndio kilichopelekea Kinana alalamikie Traffic

    Jf kila mtu mjuaji yaani umenfunkunyua kinana mpk bc hahahahha atakuja humu na I'd yake fake kukutukana
  4. patricl

    Wafuasi wa Magufuli mbona kimya tena

    Huyu jamaa n hatar acha tu since 2016
  5. patricl

    Uzalo Special Thread

    Du...
  6. patricl

    Mawasiliano ya Mfuko wa Taifa wa Pension kwa Wastaafu

    Pssf Ni wasumbufu jaman sijapata ona ,kwanza dharau pil wanahudumia mteja akijisikia. Nssf jaman Ile ofisi wamejawa na nidham ya Hal ya juu mafao wanatoa fasta, Ila pssf mh kunahitaj iundwe upya
  7. patricl

    Kwanini Walimu wengi ni maskini hapa Tanzania?

    Uko WAP ww? Siri iliojificha n ndani ya ualimu
  8. patricl

    Usianzishe biashara wala kutafuta kazi kupitia waganga wa kienyeji

    KHERI ya mwaka 2022 Ahsante kwa ujumbe
  9. patricl

    Msaada wakuu nimekwama, wiki sasa balo la mtumba halitoki

    Kabla ya kufungua balo lako weka maombi
Back
Top Bottom