Msaada wakuu nimekwama, wiki sasa balo la mtumba halitoki

Msaada wakuu nimekwama, wiki sasa balo la mtumba halitoki

pmama

Member
Joined
May 8, 2021
Posts
42
Reaction score
25
Habari zenu,

Dada yenu nimekwama tafadhali naomba mnisaidie,

Nimekodi meza ya biashara soko la Tandika, nimeanza kwa kuuza nusu balo la skin jeans na nusu balo la blouse. Wiki sasa inakata mzigo hautoki mpaka nahofia kula pesa ya mtaji.

Naomba kama kuna yeyote anaweza nisaidia balo la nguo za watoto nimuuzie hapa mezani ili nisikate mtaji maana nguo za watoto hapa nilipo zinatembea sana tofauti na mzigo wangu, hata kwa kuhesabiana kila jioni niko tayari. Tafadhali wakuu msaada wenu unahitajika sana.
 
unakosea.tafuta kijana unafungua balo unanadisha linaisha.kwa siku unaweza kufunhu ahta matatu.nguo wateja wenyewe wanajihukumu ikitoka kali wamapandiana dau
Nashukuru sana kwa ushauri
 
Balo la mtumba wa skin jeans inabidi utafte location nzuri kama maeneo karibia na vyuo ka ustawi, udsm and Ardhi hapo utauza sana wadada wengi wa skin jeans ni Wana chuo, pia unaweza kutangaza biashara yako kupitia Instagram ads, so change location yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom