Tumezoea kuona wafuasi wa kiongozi wa wa malaika wakipolomosha matusi kwa yeyote yule ambaye hakukubaliana nao katika legacy ya JPM ya utawala wa kibabe na siasa za majitaka lakini sasa naona wafuasi hao wanazidi kupotea taratibu
SIYO MATUSI BALI LUGHA KALI YENYE UKWELI, SEMA APUNGUZZE LUGHA KALI, ALEMBE MANENO......Kama una hamu ya matusi mtafute MDUDE pale Ufipa st
Chema chajiuzaTumegundua hakuna sababu ya kujibizana kwani alichokifanya JPM hakihitaji promo
EwaaChema chajiuza
Taja wafuasi walau 5 tuone
na kweli aliwaua wengi na kuwapiga risasiTumegundua hakuna sababu ya kujibizana kwani alichokifanya JPM kwa Tanzania hakihitaji promo
Wameanza kuzoea hali hii. Walijua yule fara hatokufa kama alivyojiapiza.Tumezoea kuona wafuasi wa kiongozi wa malaika wakipolomosha matusi kwa yeyote yule ambaye hakukubaliana nao katika legacy ya JPM ya utawala wa kibabe na siasa za majitaka lakini sasa naona wafuasi hao wanazidi kupotea taratibu
N kwel hata kutekana na kukandamiza Watumishi hakuhitaj promo kabisa yanTumegundua hakuna sababu ya kujibizana kwani alichokifanya JPM kwa Tanzania hakihitaji promo
Huyu jamaa n hatar acha tu since 2016Wameanza kuzoea hali hii. Walijua yule fara hatokufa kama alivyojiapiza.
Watu walimtabiria kifo mapema TU alipoanza kupora Mali za Wana mbeya na kuzipeleka chatoView attachment 2308695
Naona mmemiss kubutuliwa na Magufuli!Hili topolo moja limejitokeza
Sasa nmepoteaje mbona nipo kila siku?Ww wa kwanza
Wengi wangapi?na kweli aliwaua wengi na kuwapiga risasi