Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Hamna Kitu km hicho
Akija unishtue,maana nmetokewa na hki kitu kati ya j4 ya tarehe 11 na jpili ya tar 16.Mshana jr uje hapa tafadhali..
Hili ni jibu tosha kwa watu kama hawa👊Ingekuwa hao Wazungu ni watu wabaya wasiofaa kuigwa basi usingeweza kuandika hapa.
Hiyo laptop, smartphone ni matokeo ya akili ya Mzungu aliyekuletea dini na elimu.
Sasa hivi hapo ulipo karibu kila kitu kilichokuzunguka ni mkono wao.
Sasa kwanini nisifuate imani zao?
Kuna li panya lipo humu ndani mwangu silielewi kabisaaaUchawi ni roho kamili, roho huwa haifi kirahisi. Hivyo mchawi akifa hata kama alipokuwa hai hakumrithisha mtu ofisi yake, usitegemee ule uchawi utapotea. Automatically uchawi utamtafuta mrithi atafundishwa katika ulimwengu wa Roho naye atakuwa mkubwa kuliko hata muasisi wake.
Muhimu: Huwezi kuushinda uchawi na wachawi kwa kutokuamini kuwa kuna uchawi. Kwasababu hiyo ndio maana uchawi hauishi bali unakua tu. Inasemekana kuwa Mwafrika huroga ili amtese mtu tu ndipo moyo wake hufurahi, while mzungu huroga ili apate hitaji lake.
Turudi kwenye mada, Uswahilini kuna watu hawataki kufanya kazi za nguvu hivyo hutumia uchawi chuma ulete kujipatia kipato( kiyao tunaita CHITOLA).
Kama una mfereji wa shilingi wachawi huweka wakusanya pesa ndani mwako ambao ni mende, panya, mijusi n.k. Uchawi (roho) inapewa vazi la wadudu au wanyama ili usishtuke mapema.
Utajikuta unapata pesa husongi mbele, unapata pesa matatizo yanakuja, unajua umetumia ku solve matatizo kumbe umepigwa.
Wakati mwingine magonjwa, vifo, ajali, mikosi hutumiwa hawa wadudu kukuletea nyumbani kwako.
Ushuhuda wa kweli: Niliishi Temeke nyumba moja ya kupanga, ile nyumba panya hawakauki, ukitia sumu utawaua kesho utamwona tena panya mwingine. Sikuamka haraka. Wakati nahamia kwangu nilihama na panya mmoja, kila nikiweka sumu hafi watakufa panya wa kawaida tu. Siku moja wife akaniambia kuwa huyu panya si wa kawaida , alirudia hili neno kama mara 3.
Siku moja nikiwa kazini nikampigia simu wife kuwa huyo panya mwisho wake umefika. Siku zilizofuata chache sana nikaambiwa tumefanikiwa kumuua yule panya. Sasa nyumba yangu haijawahi kuguswa tena na panya yeyote. Kuna mjusi vivyo hivyo alileta mazoea nikamfuta kabisa.
Sio wadudu wote ni wa kichawi, wengine huja kwaajili ya mazingira kuwa rafiki kwao, ila cha msingi ni kuwa makini, unaweza kujikuta unaishia pabaya.
Binafsi nilitumia maombi kuwaangamiza, nawashauri tumieni maombi au njia nyingine ambazo mnajua kuwa uchawi hautaweza kusimama endapo zitatumika. Kuna jamaa aliibiwa sana, baada ya kuapply maombi wakafa panya wengi akapewa notice ya kuhama mara moja na mwenye nyumba wake.
Manyigu ni dalili ya nini naomba kujua hili?Umesahau manyigu kujenga kwenye ceiling board
Uchawi ni roho kamili, roho huwa haifi kirahisi. Hivyo mchawi akifa hata kama alipokuwa hai hakumrithisha mtu ofisi yake, usitegemee ule uchawi utapotea. Automatically uchawi utamtafuta mrithi atafundishwa katika ulimwengu wa Roho naye atakuwa mkubwa kuliko hata muasisi wake.
Muhimu: Huwezi kuushinda uchawi na wachawi kwa kutokuamini kuwa kuna uchawi. Kwasababu hiyo ndio maana uchawi hauishi bali unakua tu. Inasemekana kuwa Mwafrika huroga ili amtese mtu tu ndipo moyo wake hufurahi, while mzungu huroga ili apate hitaji lake.
Turudi kwenye mada, Uswahilini kuna watu hawataki kufanya kazi za nguvu hivyo hutumia uchawi chuma ulete kujipatia kipato( kiyao tunaita CHITOLA).
Kama una mfereji wa shilingi wachawi huweka wakusanya pesa ndani mwako ambao ni mende, panya, mijusi n.k. Uchawi (roho) inapewa vazi la wadudu au wanyama ili usishtuke mapema.
Utajikuta unapata pesa husongi mbele, unapata pesa matatizo yanakuja, unajua umetumia ku solve matatizo kumbe umepigwa.
Wakati mwingine magonjwa, vifo, ajali, mikosi hutumiwa hawa wadudu kukuletea nyumbani kwako.
Ushuhuda wa kweli: Niliishi Temeke nyumba moja ya kupanga, ile nyumba panya hawakauki, ukitia sumu utawaua kesho utamwona tena panya mwingine. Sikuamka haraka. Wakati nahamia kwangu nilihama na panya mmoja, kila nikiweka sumu hafi watakufa panya wa kawaida tu. Siku moja wife akaniambia kuwa huyu panya si wa kawaida , alirudia hili neno kama mara 3.
Siku moja nikiwa kazini nikampigia simu wife kuwa huyo panya mwisho wake umefika. Siku zilizofuata chache sana nikaambiwa tumefanikiwa kumuua yule panya. Sasa nyumba yangu haijawahi kuguswa tena na panya yeyote. Kuna mjusi vivyo hivyo alileta mazoea nikamfuta kabisa.
Sio wadudu wote ni wa kichawi, wengine huja kwaajili ya mazingira kuwa rafiki kwao, ila cha msingi ni kuwa makini, unaweza kujikuta unaishia pabaya.
Binafsi nilitumia maombi kuwaangamiza, nawashauri tumieni maombi au njia nyingine ambazo mnajua kuwa uchawi hautaweza kusimama endapo zitatumika. Kuna jamaa aliibiwa sana, baada ya kuapply maombi wakafa panya wengi akapewa notice ya kuhama mara moja na mwenye nyumba wake.
Jembe we ndonuna matatizo mi naishi mbezi beach kwanza hao mijusi nilikuaga naichukulia poa sas waifu alikua anaiogopa mi nikawa namuhakikishia kua hao wadudu hawana shida ! BRO. Trust vitu nilivopoteza ata nikikwambia huwezi amini acha pesa hizi mpaka nikakutana na muuni wangu job ndo kanipa misingi ko saiv nikimuona tu kadandia mtumbwi wa vibwengo maana anajuta ninavo mshagashaga!Ukiona umefika stage ya kuona ufukara wako unasababishwa na panya au mijusi wenye uwezo wa kuchukuwa fedha kimuujiza basi wewe ujue ni kichaa kamili.
Nyie hivi ni kweli?mi nawachukulia poa Sana,na nawakataza kabisa watoto kuua mijusi.Yani naipenda na naamini wanasaidia kupunguza wadudu na kiimani naamini wakipendelea Sana kujakwako niishara yakua nawatoto wengi wakiumeJembe we ndonuna matatizo mi naishi mbezi beach kwanza hao mijusi nilikuaga naichukulia poa sas waifu alikua anaiogopa mi nikawa namuhakikishia kua hao wadudu hawana shida ! BRO. Trust vitu nilivopoteza ata nikikwambia huwezi amini acha pesa hizi mpaka nikakutana na muuni wangu job ndo kanipa misingi ko saiv nikimuona tu kadandia mtumbwi wa vibwengo maana anajuta ninavo mshagashaga!
Sent from my Pixel 3 using JamiiForums mobile app
Che Sandali abalichi achimwene!Uchawi ni roho kamili, roho huwa haifi kirahisi. Hivyo mchawi akifa hata kama alipokuwa hai hakumrithisha mtu ofisi yake, usitegemee ule uchawi utapotea. Automatically uchawi utamtafuta mrithi atafundishwa katika ulimwengu wa Roho naye atakuwa mkubwa kuliko hata muasisi wake.
Muhimu: Huwezi kuushinda uchawi na wachawi kwa kutokuamini kuwa kuna uchawi. Kwasababu hiyo ndio maana uchawi hauishi bali unakua tu. Inasemekana kuwa Mwafrika huroga ili amtese mtu tu ndipo moyo wake hufurahi, while mzungu huroga ili apate hitaji lake.
Turudi kwenye mada, Uswahilini kuna watu hawataki kufanya kazi za nguvu hivyo hutumia uchawi chuma ulete kujipatia kipato( kiyao tunaita CHITOLA).
Kama una mfereji wa shilingi wachawi huweka wakusanya pesa ndani mwako ambao ni mende, panya, mijusi n.k. Uchawi (roho) inapewa vazi la wadudu au wanyama ili usishtuke mapema.
Utajikuta unapata pesa husongi mbele, unapata pesa matatizo yanakuja, unajua umetumia ku solve matatizo kumbe umepigwa.
Wakati mwingine magonjwa, vifo, ajali, mikosi hutumiwa hawa wadudu kukuletea nyumbani kwako.
Ushuhuda wa kweli: Niliishi Temeke nyumba moja ya kupanga, ile nyumba panya hawakauki, ukitia sumu utawaua kesho utamwona tena panya mwingine. Sikuamka haraka. Wakati nahamia kwangu nilihama na panya mmoja, kila nikiweka sumu hafi watakufa panya wa kawaida tu. Siku moja wife akaniambia kuwa huyu panya si wa kawaida , alirudia hili neno kama mara 3.
Siku moja nikiwa kazini nikampigia simu wife kuwa huyo panya mwisho wake umefika. Siku zilizofuata chache sana nikaambiwa tumefanikiwa kumuua yule panya. Sasa nyumba yangu haijawahi kuguswa tena na panya yeyote. Kuna mjusi vivyo hivyo alileta mazoea nikamfuta kabisa.
Sio wadudu wote ni wa kichawi, wengine huja kwaajili ya mazingira kuwa rafiki kwao, ila cha msingi ni kuwa makini, unaweza kujikuta unaishia pabaya.
Binafsi nilitumia maombi kuwaangamiza, nawashauri tumieni maombi au njia nyingine ambazo mnajua kuwa uchawi hautaweza kusimama endapo zitatumika. Kuna jamaa aliibiwa sana, baada ya kuapply maombi wakafa panya wengi akapewa notice ya kuhama mara moja na mwenye nyumba wake.
Yqani maombi kupambana na panya?? Daah,ulokole ni upuuzi sana,kila tatizo suluhisho ni maombi??Uchawi ni roho kamili, roho huwa haifi kirahisi. Hivyo mchawi akifa hata kama alipokuwa hai hakumrithisha mtu ofisi yake, usitegemee ule uchawi utapotea. Automatically uchawi utamtafuta mrithi atafundishwa katika ulimwengu wa Roho naye atakuwa mkubwa kuliko hata muasisi wake.
Muhimu: Huwezi kuushinda uchawi na wachawi kwa kutokuamini kuwa kuna uchawi. Kwasababu hiyo ndio maana uchawi hauishi bali unakua tu. Inasemekana kuwa Mwafrika huroga ili amtese mtu tu ndipo moyo wake hufurahi, while mzungu huroga ili apate hitaji lake.
Turudi kwenye mada, Uswahilini kuna watu hawataki kufanya kazi za nguvu hivyo hutumia uchawi chuma ulete kujipatia kipato( kiyao tunaita CHITOLA).
Kama una mfereji wa shilingi wachawi huweka wakusanya pesa ndani mwako ambao ni mende, panya, mijusi n.k. Uchawi (roho) inapewa vazi la wadudu au wanyama ili usishtuke mapema.
Utajikuta unapata pesa husongi mbele, unapata pesa matatizo yanakuja, unajua umetumia ku solve matatizo kumbe umepigwa.
Wakati mwingine magonjwa, vifo, ajali, mikosi hutumiwa hawa wadudu kukuletea nyumbani kwako.
Ushuhuda wa kweli: Niliishi Temeke nyumba moja ya kupanga, ile nyumba panya hawakauki, ukitia sumu utawaua kesho utamwona tena panya mwingine. Sikuamka haraka. Wakati nahamia kwangu nilihama na panya mmoja, kila nikiweka sumu hafi watakufa panya wa kawaida tu. Siku moja wife akaniambia kuwa huyu panya si wa kawaida , alirudia hili neno kama mara 3.
Siku moja nikiwa kazini nikampigia simu wife kuwa huyo panya mwisho wake umefika. Siku zilizofuata chache sana nikaambiwa tumefanikiwa kumuua yule panya. Sasa nyumba yangu haijawahi kuguswa tena na panya yeyote. Kuna mjusi vivyo hivyo alileta mazoea nikamfuta kabisa.
Sio wadudu wote ni wa kichawi, wengine huja kwaajili ya mazingira kuwa rafiki kwao, ila cha msingi ni kuwa makini, unaweza kujikuta unaishia pabaya.
Binafsi nilitumia maombi kuwaangamiza, nawashauri tumieni maombi au njia nyingine ambazo mnajua kuwa uchawi hautaweza kusimama endapo zitatumika. Kuna jamaa aliibiwa sana, baada ya kuapply maombi wakafa panya wengi akapewa notice ya kuhama mara moja na mwenye nyumba wake.