Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
HowNimemaanisha mikoa yote miwili haina mpangilio mzuri Over.
HowNimemaanisha mikoa yote miwili haina mpangilio mzuri Over.
Habari zenu "haters" wenye dukuduku, maoni, mapovu, kelele n.k...
Mwageni povu zenu zote hapa kuhusu Mbeya.
Ili tujue kama kuna sehemu tunaweza kurekebisha japo sio rahisi kumridhisha kila mtu hasa anayekuchukia.
Nafasi adhim ndiyo hii.....
Mwageni mabaya yote kuhusu Mbeya maana najua mnamengi ya kuongea Ila ndo ivyo hamkupata nafasi ya kutema povu lenu juu ya jiji letu.
Na msisahau pia kukaribia. mnakaribishwa sana Mbeya wageni wooooote.
NDAGA FIJO.
MBEYA
Home Sweet Home Green City
Wapi uliko ambako sio kwa hovyo tuone.Mbeya ni moja ya mikoa ya hovyo saana na hapafai kuitwa jiji yaani pako kama kijij kilichochangamka
Wapi walikopanga Vizuri hapa Tzn?Nina nyumba isyesye waliopanga mji wa mbeya waliuharibu saana poor City evere
Uwekezaji unazidi kushika Kasi Jijini Mbeya 👇Mbeya ni jiji haswaaa
😂😂🙌🙌🙌Mbeya oyee
Wanasingizia eti vyakula vipo vingiWadada wenzetu wa jiji la Mbeya punguzeni kulakula jamani
Una matatizo sio bure,Mbeya ipi ambayo haikui? Unaijua Mbeya kweli wewe?Sema mbey bhna maendeleo yanasua sana mji haukui haupanuki
Bila Shaka umesoma sangu hahaVipi ilolo kumebadilika
😂😂😂😂😂🙌wanajiendekeza Sana wadada wa jijini MbeyaWanasingizia eti vyakula vipo vingi
Sasa kama vipo vingi ndio Uleule kama nguruwe?