Rais yuko sahihi namuunga mkono 100% huwezi kubariki na kuleta siasa kwa biashara haramu inayoangamiza vijana wetu ,ili watu waogope sheria kama izo zichukuliwe
Kivipi wavunje ndoa maana wanandoa unawahalalisha kucheat na kuzini wala tu waumbuke wazinifu ,ndoa iliyounganishwa na Mungu ni vigumu na haiwezekani kuvunjwa na radio kirahisi kirahisi ivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.