Recent content by paschal m

  1. P

    MUONGOZO: Mambo ya kuzingatia unaponunua gari lililotumika ndani ya Tanzania

    Imekaa vizuri aisee thanxs Sent using Jamii Forums mobile app
  2. P

    Humphrey Polepole CCM imekuzidi Uenezi

    Wifu unakusumbua
  3. P

    Mange Kimambi afungua Apps ķatika playstore Android!!

    Kazi ubea tu hana lolote huyo tumemchoka amefirisika sera
  4. P

    Nini tafsiri ya kushangiliwa kwa Lowassa msibani Arusha?

    Yaani watu hata mambo ya misiba munaleta SIASA ,Rais ni John pombe Joseph Magufuli
  5. P

    Zitto Atuma Salaam Nzito. Kuna Mkakati Mzito Bungeni

    Hamna kitu kama icho ya kupiga kura hiyo ni ndoto ya mchana
  6. P

    Rais Magufuli ametudhalilisha Sana Watanzania

    Rais yuko sahihi namuunga mkono 100% huwezi kubariki na kuleta siasa kwa biashara haramu inayoangamiza vijana wetu ,ili watu waogope sheria kama izo zichukuliwe
  7. P

    Hivi 2020 Magufuli atatumia njia gani kuomba kura?

    Bila hata kufanya kampeni Magufuli atashinda hamna mpinzani wa kumpa headache now ,Magufuli Rais mpaka 2025
  8. P

    Wanaume tuache kuhonga, kwani raha tunapata sisi tu?

    Nikupm miss chagga?maana comment zako huwa zimeenda shule
  9. P

    Radio Clouds Mtavunja Ndoa za Watu

    Kivipi wavunje ndoa maana wanandoa unawahalalisha kucheat na kuzini wala tu waumbuke wazinifu ,ndoa iliyounganishwa na Mungu ni vigumu na haiwezekani kuvunjwa na radio kirahisi kirahisi ivyo
  10. P

    Wanawake wasiokuwa na magari ni wachafu

    Huu ni ushamba ulimbukeni kama umesoma elimu yako haijakusaidia rudi shule tena utoe ujinga huo
  11. P

    Wadada taratibu jamani, kama ni biashara mseme kabisa

    Miss chagga wewe unaanzia sh ngapi?
Back
Top Bottom