Ok kumbe tupo wengi tulopatwa na wasaka grisi kwa nguvu mimi nusula nijichanganye ni mlegezee
Vyuma uzuri alivyo boya alijichanganya kwa kusema laini inashida upande wa M-PESA nikamwambia peleka gelegi
Nimeuliza kwa nia njema wapo watu ni wakalimu wakiwa kwetu ila wakiludi kwao ni wabaguzi wanaweza kutoa uhai niliingiwa hofu ulipo taja mshahara kuendelea ku flow ni kahisi itakua janja ya kukuaminisha ili uingi king then wakudhuru kiongozi , angali Moyowako una semaje ndio uende
Come down think beyond hasira hazijengi nikweli unaumia jaribu kufunika kombe mwanaharamu apite ,katika maisha ukikutana na changamoto ambayo haitoi uhai let it go my brother
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.