Wizi wa pesa kupitia namba 0746008589

Wizi wa pesa kupitia namba 0746008589

Mimi ni namba hii 0744 - 411 535 ndio nimeambiwa nitumie iyo namba haraka sana ila aliyetuma alitumia namba 0621 - 264 099.

Ila baada tu yakutumiwa na mtu ela laki5 baada ya Massa ma2 nikapata sms inasema nipo iyo hela itume kwenye namba ya Voda ambayo iyo niliyoandika imeishia 99 sim yangu inasumbua sana nipo kwa wakara hapa fanya haraka
 
Mimi nahisi mitamdao ya sim wanakula njama maana nikipata tu muamala haichukui mda napata sms izo hadi nashangaa....watakuwa wanawapat wengi tu
 
Duh ilibaki kidogo nitume maana mda huo ndio nimetoka kuongea na mother nimtumie pesa ila akasema line yake inasumbua.....nikajua labda kaomba nimtumie kwa namba ya wakala huyo
 
tmp-cam--2120858573.jpg
 
Kuna mchezo wa mitandao hapa. mimi nilikuwa naongea na wife ili nimtumie pesa baada tu ya mazungumzo ikaingia message ya tapeli nikashangaa kajuaje kama nataka kufanya muamala? TCRA mpo wapi
 
Kuna jamaa hapa dukani kalizwa 430k sasa hivi kwa njia hii hii.
Kacheki na jamaa amletee mzigo ile anamaliza tu txt ikaingia, akatuma pesa. Sa ii anavutana na mshikaji wake akidhani jamaa ndo anamzingua
 
Tcra huwa hawaoni hao matapeli? Au kwakua hayamsemi mtu mkubwa hapa TZ, au wanauwezo wa kisoma mambo ya Fb na nk?
 
Back
Top Bottom