Azam nchi za jirani na mikoa ya mipakani local channels zote za Tanzania wanapata. Kwanini sisi?

ubarinolutu

JF-Expert Member
Oct 22, 2012
1,964
3,895
Nimeshangaa sana kuna Watanzania Serikali imezuia Azam wasituonyeshe local channels huku nchi za jirani kama Uganda, Rwanda, Burundi Zambia na Malawi wanafaidi local channels zetu huku Serikali haitaki tuone.

Kwasababu hiyo hiyo mikoa mingi ya mipakani wanaunganisha ving'amuzi vya azam ila ni kwa kutumia nchi jirani. Mfano Songwe, Njombe, wanaungwa na Azam Malawi, Sumbawanga Tunduma, wanaungwa na Azam ya Zambia, vilele maeneo ya rombo na Kigoma,

Serikali msitufanyie hivo, tupeni haki yetu ya kuangalia local channels. Au tuhame nchi
 
Acha izoMm nataka nipate izo local channels thru azam ndo nauliza kama naweza tumia Ving'amuzi vya bongo ila nikabadiri Satellite au King'amuzi ndo kinatakiwa kiwe cha Abroad ila Satellite ni ileile pls
Inawezekana kwa maana watu wa mbeya, njombe wanafungiwa hivyo kwa system ya malawi ila sijafuatilia kwa ndani nijue wanafanyaje
 
Unanua decorder na kale kamtambo uwa kanapatikana kwenye mkonga wa dishi ila vyote viwe vya azam nchi jirani afu unafunga kwenye dishi lolote unakula burudani mulua kabisa.
Asante kwa ushauri sasa hatuna budi kufanya hivo
 
Nimeshangaa sana kuna watanzania serikali imezuia azam wasituonyeshe local channels huku nchi za jirani kama kuna, uganda, rwanda, burundi zambia na malawi wanafaidi local channels zetu huku serikali you haitaki tuone.

Kwasababu hiyo hiyo mikoa mingi ya mipakani wanaunganisha ving'amuzi vya azam ila ni kwa kutumia nchi jirani, mfano songwe,njombe, wanaungwa na azam malawi , sumbawanga runduma, wanaungwa na azam ya zambia, vilele maeneo ya rombo na kigoma,

Serikali msitufanyie hivo, tupeni haki yetu ya kuangalia local channels. Au tuhame nchi
du! ***** walai afu wahusika wamekaa kimyaaaaa ndiyo imetoka hiyo sijawahibona wizara ya hovyo na ajabu kama hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukienda Wilayani Missenyi mkoani Kagera huko local channels wanaangalia kama kawaida kuna wengine hawajui kama local channels zilishafungiwa. Kinachofanyika MTU anaenda mpakani kwa upande wa Uganda ananunua kisimbuzi cha Azam na anakisajili huko then anaendelea kuanagalia local channels bila taabu akiwa TZ

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukienda Wilayani Missenyi mkoani Kagera huko local channels wanaangalia kama kawaida kuna wengine hawajui kama local channels zilishafungiwa. Kinachofanyika MTU anaenda mpakani kwa upande wa Uganda ananunua kisimbuzi cha Azam na anakisajili huko then anaendelea kuanagalia local channels bila taabu akiwa TZ

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye malipo unalipa kwa pesa ya Tanzania au nchi jirani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeshangaa sana kuna watanzania serikali imezuia azam wasituonyeshe local channels huku nchi za jirani kama kuna, uganda, rwanda, burundi zambia na malawi wanafaidi local channels zetu huku serikali you haitaki tuone.

Kwasababu hiyo hiyo mikoa mingi ya mipakani wanaunganisha ving'amuzi vya azam ila ni kwa kutumia nchi jirani, mfano songwe,njombe, wanaungwa na azam malawi , sumbawanga runduma, wanaungwa na azam ya zambia, vilele maeneo ya rombo na kigoma,

Serikali msitufanyie hivo, tupeni haki yetu ya kuangalia local channels. Au tuhame nchi
Kaka hama tu elekea Zimbambwe ila hapa kazi tu,tutakuonyesha siku ndege zikija no more!!!!
 
Nimeshangaa sana kuna watanzania serikali imezuia azam wasituonyeshe local channels huku nchi za jirani kama kuna, uganda, rwanda, burundi zambia na malawi wanafaidi local channels zetu huku serikali you haitaki tuone.

Kwasababu hiyo hiyo mikoa mingi ya mipakani wanaunganisha ving'amuzi vya azam ila ni kwa kutumia nchi jirani, mfano songwe,njombe, wanaungwa na azam malawi , sumbawanga runduma, wanaungwa na azam ya zambia, vilele maeneo ya rombo na kigoma,

Serikali msitufanyie hivo, tupeni haki yetu ya kuangalia local channels. Au tuhame nchi
Tatizo litakuja pale utakapozipata kwA KULIPIA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom