Recent content by Pablo

  1. Pablo

    Hali ya hewa ya Dodoma imenishinda

    Ww nae si urudi tu. Wameshafuta intavyuu. Unafanya nini huko hadi saiv?
  2. Pablo

    Kipi kifanyike ili kutibu ama kuondoa tatizo la chumvi majumbani?

    Waona hawa jamaa..wanatibu hilo tatizo na hutoona tena likijirudia NORPAD GS CO. +255 753 318 131
  3. Pablo

    This is what is going to happen globally in the very near future. Get prepared

    Mmhh this is very terrible. Aisee Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
  4. Pablo

    Nina uvimbe pembeni ya mdomo. Sababu ni nini?

    Unatumia simu gani Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
  5. Pablo

    Simpendi ila nataka kufanya naye maisha

    Sasa tukushauri nini hapo mkuu
  6. Pablo

    Naombeni ushauri wa haraka kwa niaba ya rafiki yangu kipenzi

    Kuna kitu kinaitwa timing. The best time ilikuwa kipindi kile ana mtoto mmoja, this time ni jioni kabisaaaa Jamaa alipiga mambo demu akiwa na mimba coz alikuw na hasira maana alimpenda dem akazingua kupata mimba nyngne so alipiga ili tu kutimiza wajibu baada ya hapo mapenz hana tena kwa huyo...
  7. Pablo

    Uchaguzi 2020 Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC: Watanzania hawataki mtu atakayeuza madini yao kwa wageni nje

    Kwani wakina mwigulu, Nape, Wasira na wakina Mwakyembe wakati wakimtukana na kumpaka matope Lowassa 2015 tume ilikuwa haijui wanatakaiwa kuomba kura na sio matusi jukwaani? Wakina msukuma, mwigulu na Wana ccm wengine wanamtusi Lissu ni Kibaraka aliyetumwa na Mabeberu hizo ndizo Sera zao...
  8. Pablo

    Jamaa nimemsamehe kwa ukweli wake mchungu. Mke wangu simuelewi

    Nenda huko mahakamani ukapate ukweli maana sisi hatukuchungulia dirishani
  9. Pablo

    India na China wakinukisha, wanajeshi watatu wa India wauawa, dunia inatamani sana damu

    Hizi ndizo habari zinazokufaa kuriporti na sio magufuli na Tz yetu Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
  10. Pablo

    Wallpaper official thread.

    Uzi mtamu huu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Pablo

    Kuna wakati najivunia kuwa Mtanzania

    Yupo kwenye wakati mgumu sana mwamba huyu. Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
  12. Pablo

    Kuna wakati najivunia kuwa Mtanzania

    Duh Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
  13. Pablo

    Kuna wakati najivunia kuwa Mtanzania

    Kivipi Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
  14. Pablo

    Kuna wakati najivunia kuwa Mtanzania

    Kweli mkuu. Na huu ndo uzalendo Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom