Kuna kitu kinaitwa timing. The best time ilikuwa kipindi kile ana mtoto mmoja, this time ni jioni kabisaaaa
Jamaa alipiga mambo demu akiwa na mimba coz alikuw na hasira maana alimpenda dem akazingua kupata mimba nyngne so alipiga ili tu kutimiza wajibu baada ya hapo mapenz hana tena kwa huyo...
Kwani wakina mwigulu, Nape, Wasira na wakina Mwakyembe wakati wakimtukana na kumpaka matope Lowassa 2015 tume ilikuwa haijui wanatakaiwa kuomba kura na sio matusi jukwaani?
Wakina msukuma, mwigulu na Wana ccm wengine wanamtusi Lissu ni Kibaraka aliyetumwa na Mabeberu hizo ndizo Sera zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.