Kuna wakati najivunia kuwa Mtanzania

Pablo

JF-Expert Member
Apr 2, 2017
2,441
2,541
Ni kipindi hiki cha COVID 19.

Kuna wakati mtu unaweza tenda mazuri mia lakini moja baya likatia doa hayo mazuri mia.

Pia kutenda mabaya mia kuna zuri moja laweza futa hayo mia.

Kipindi hiki cha pandemic kimenifanya nifurahi kuwa mtanzania ukiachilia mbali changamoto za Rais Wetu Lakini he is a strong ever seen. Hata kama hatujui badae yetu lakini hadi sasa ni mtu pekee anaefanya tujivunie kuzaliwa Tz

Najiuliza tuu. Mimi ninaepata mkate baada ya kunyanyua mguu wangu toka nyumbani ningeishije kama kungekuwa na Lockdown.

Si mimi tu, Watanzania walio wengi wangeishi vipi kama kungekuwa na lockdown

Mataifa mengine wamepitia kwenye Lockdown lakini bado maambukiz ni lukuki kila kukicha bora yetu ambao hatutangazi maana kujua idadi kungetutia hofu na kutumaliza kuliko hata ugonjwa wenyewe.

Ukiangalia miradi ya maendeleo inavyoenda ndo utaamini mzee baba yupo serious come rain come sun.

Sasa kikubwa zaid ni kutatua changamoto ya mipakani ndani ya siku 2 tu na biashara kurejea as normal; aiseee this is a gifted President ever. Mnyonge tumnyonge lakini haki yake pia tumpe.

Ni bora uishi kwa amani na maisha yaendeleee kuliko kuishi kwa mashaka na wasiwasi bila uhuru kwa kufungiwa ndani na hujui hatma ya maisha yako.

I salute My President. I'm proud to be Tanzanian.

Tunaojivunia tuweke Comment kidogo
 
Vzr, nami najivunia. Poleni wahitimu wa vyuo na wazee wakubwa wa kujitolea jkt mambo yatakaa poa soon mtaingia kwenye system
 
Ni kweli kuna muda inafika inabidi tuchakarike, kikawaida uchumi hauwezi kujengwa kwa kukaa ndani au kufanya kazi kutokea nyumbani...lazima kutakuwa na mdororo.... tufanye kazi huku tukifuata maelekezo ya wataalamu wa afya mpaka pale mamlaka husika zitakapotangaza kuwa COVID-19 haipo kabisa


StaySafe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika masiku haya matukufu ya ramadhani tuendeleeni kuwaombea masheikh waliopo katika mikono ya madhalimu nchini Tanzania.

Masheikh wa UAMSHO wa Zanzibar, pia masheikh 3 wa Hizb ut Tahrir na waislamu wengine waliopo katika dhulma na kesi za kubambikiwa
Amiin! Sometym hata maombi hayafai! Eti babangu awepo huko mwaka wa ngapi huu nami nimekaa tu .eti mume wangu awe huko nami niko tu! Noway out! Ningekuwa marehemu nisijue linaloendelea! Yaan ningetafuta wenye imani zao wanivishe mabomu! Uvumilivu huo wanao watu jamani!
Ni kipindi hiki cha COVID 19.

Kuna wakati mtu unaweza tenda mazuri mia lakini moja baya likatia doa hayo mazuri mia.

Pia kutenda mabaya mia kuna zuri moja laweza futa hayo mia.

Kipindi hiki cha pandemic kimenifanya nifurahi kuwa mtanzania ukiachilia mbali changamoto za Rais Wetu Lakini he is a strong ever seen. Hata kama hatujui badae yetu lakini hadi sasa ni mtu pekee anaefanya tujivunie kuzaliwa Tz

Najiuliza tuu. Mimi ninaepata mkate baada ya kunyanyua mguu wangu toka nyumbani ningeishije kama kungekuwa na Lockdown.

Si mimi tu, Watanzania walio wengi wangeishi vipi kama kungekuwa na lockdown

Mataifa mengine wamepitia kwenye Lockdown lakini bado maambukiz ni lukuki kila kukicha bora yetu ambao hatutangazi maana kujua idadi kungetutia hofu na kutumaliza kuliko hata ugonjwa wenyewe.

Ukiangalia miradi ya maendeleo inavyoenda ndo utaamini mzee baba yupo serious come rain come sun.

Sasa kikubwa zaid ni kutatua changamoto ya mipakani ndani ya siku 2 tu na biashara kurejea as normal; aiseee this is a gifted President ever. Mnyonge tumnyonge lakini haki yake pia tumpe.

Ni bora uishi kwa amani na maisha yaendeleee kuliko kuishi kwa mashaka na wasiwasi bila uhuru kwa kufungiwa ndani na hujui hatma ya maisha yako.

I salute My President. I'm proud to be Tanzanian.

Tunaojivunia tuweke Comment kidogo
I proud to be Tanzanian
kama taifa tuko pamoja na rais magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vzr, nami najivunia. Poleni wahitimu wa vyuo na wazee wakubwa wa kujitolea jkt mambo yatakaa poa soon mtaingia kwenye system
Chade.. watapinga..😅
Mnajivunia maisha yenu kuwekwa rehani kijinga bila ufahamu wa mambo. Bahatisha ya kienyeji kuwahi kufanyika kwa maisha ya watu 60m ni kwamba tu imekuwa coincidence lakini namna ambavyo serikali imechukulia corona ni mbovu zaidi duniani. Ndio tutafungua na nchi zimeanza kufungua lakini baada ya tahadhari na hatua madhubuti. Mnajivunia kutoambiwa ukweli wa ugonjwa na kwa wagonjwa wenu kuzikwa usiku wa manane. Kwa utafiti wangu wengi wanaosifia jinsi magu alivyofanya ni ama hawana ufahamu wa kutosha wa mambo au ni washabiki wa chama au ushabiki mwingine wa mtu binafsi. Nasikia mnasema corona imekwisha na watu wanashangilia, ni kwa takwimu zipi mnafanya mambo haya?!
 
Mnajivunia maisha yenu kuwekwa rehani kijinga bila ufahamu wa mambo. Bahatisha ya kienyeji kuwahi kufanyika kwa maisha ya watu 60m ni kwamba tu imekuwa coincidence lakini namna ambavyo serikali imechukulia corona ni mbovu zaidi duniani. Ndio tutafungua na nchi zimeanza kufungua lakini baada ya tahadhari na hatua madhubuti. Mnajivunia kutoambiwa ukweli wa ugonjwa na kwa wagonjwa wenu kuzikwa usiku wa manane. Kwa utafiti wangu wengi wanaosifia jinsi magu alivyofanya ni ama hawana ufahamu wa kutosha wa mambo au ni washabiki wa chama au ushabiki mwingine wa mtu binafsi. Nasikia mnasema corona imekwisha na watu wanashangilia, ni kwa takwimu zipi mnafanya mambo haya?!
Kwendaaa
 
Mnajivunia maisha yenu kuwekwa rehani kijinga bila ufahamu wa mambo. Bahatisha ya kienyeji kuwahi kufanyika kwa maisha ya watu 60m ni kwamba tu imekuwa coincidence lakini namna ambavyo serikali imechukulia corona ni mbovu zaidi duniani. Ndio tutafungua na nchi zimeanza kufungua lakini baada ya tahadhari na hatua madhubuti. Mnajivunia kutoambiwa ukweli wa ugonjwa na kwa wagonjwa wenu kuzikwa usiku wa manane. Kwa utafiti wangu wengi wanaosifia jinsi magu alivyofanya ni ama hawana ufahamu wa kutosha wa mambo au ni washabiki wa chama au ushabiki mwingine wa mtu binafsi. Nasikia mnasema corona imekwisha na watu wanashangilia, ni kwa takwimu zipi mnafanya mambo haya?!
Spain,US.UK,kenya n.k nawao wameanza kuweka maisha ya raia wao rehani wanafuata kama rais Magufuli anavyofanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom