Recent content by Ozzanne Issakwisa

  1. Ozzanne Issakwisa

    Operation Kitona: Mission ngumu iliyodhihirisha ubabe wa Rwanda Afrika

    Ndugu zangu wanyarwanda huwa wanajipa sifa hata wasizostahili. Ninachowapendea wameweza kuyadanganya hadi mataifa ya Ulaya.
  2. Ozzanne Issakwisa

    NHIF, kwanini vifurushi vipya vikatae kutibu figo, moyo na kansa?

    Watu wengi hawajui jinsi mifuko ya Bima ya Afya inavyofanya kazi, hasa mfumo wa Bima ya Afya ya Taifa. Kwanza tujue Bima ya Afya ya Taifa imeanzishwa kwa sheria, na awali ilianza kwa kukata mishahara ya watumishi wa serikali bila kujali kama huumwi au waumwa. Na ukweli hii michango ya Watumishi...
  3. Ozzanne Issakwisa

    Bashir Yakub: Nitayashitaki makampuni manne ya simu

    Hivi hizi msg hazihitaji kuwe na subscription? Au ndio terms and conditions zao sikuzisoma wakati nanunua line ya Vodacom.
  4. Ozzanne Issakwisa

    VIDEO: Paul Mwangosi ka-copy Awesome God wa Debora Lukalu?

    Kawaida sana kwenye gospel music. Abarikiwe kwa kutafsiri.
  5. Ozzanne Issakwisa

    Majibizano ya Mh.Rais na Mkurugenzi wa TBA leo Chamwino yanaonesha jinsi Rais asivyofuata ushauri wa Wataalamu wake, Rais asivunje sheria

    Sikujua kama huyo mheshimiwa ana cheo kikubwa hivyo. Namna yake ya kujibu maswali haikuwa stahili, wengine wakadhani ni arrogant kumbe sivyo. Mashauri au mawazo mengine angeyafanya nje ya pazia. Mawazo mema na bora hayakamiliki kuwa mazuri hadi yakiwasilishwa kwa staha.
  6. Ozzanne Issakwisa

    Wizi mpya mjini Said - Electronic

    Pole Mkuu! Ulifanya kosa kutuma pesa kama hukuona comments za ‘wanunuaji’ wengine.
  7. Ozzanne Issakwisa

    Ukweli ni upi katika kuvunjwa kwa EAMWS na kuundwa BAKWATA?

    Huwa nasoma sana maandiko yako Mzee Mohamed Said. Mara nyingi huwa marefu na ambayo huwa hayaleti muungano wa kitaifa. Mtu akimaliza kusoma hujengewa chuki tu, na ndio maana kwenye maandiko yako huwa na majibizano yasiyojenga. Shida yako kuu ni hiyo mistari hapa chini ambayo hujirudiarudia...
  8. Ozzanne Issakwisa

    Mshituko: Rais Magufuli, agoma kumsalimia kwa mkono Mkuu wa Mkoa wa Dar ndugu Paul Makonda

    Mtazamo chanya pia waweza kuwa, Mkuu wa Mkoa wa DSM yupo karibu sana na familia ya Rais. Huwezi msalimia mara ya pili, mtu ambaye mmeshaonana naye muda mfupi uliopita.
  9. Ozzanne Issakwisa

    Aliyeanguka kutoka kwenye ndege ya Kenya Airways mjini London alikuwa mfanya usafi katika Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta

    Dah! Maisha magumu. Ila hizi juhudi kubwa za kujikwamua kama kuzamia ikiwa tungekuwa tunazielekeza sehemu sahihi, yamkini tungejikomboa.
  10. Ozzanne Issakwisa

    BoT yazuia matumizi ya pesa ya kidigitali - Crypto currency

    Inawezekana tunakosa mengi kwa kutotumia mfumo wa pesa za kidigitali. Binafsi huwa inanisumbua sana kushindwa kupokea pesa kupitia Paypal, ingawa kutuma si shida. Lakini bahati mbaya tukubali kwamba sheria bado haziruhusu ijapo mataifa mengine yananufaika na hizi huduma. Yamkini kuna wadau wa...
  11. Ozzanne Issakwisa

    Rwanda inaendelea kwa kufuta taratibu sisi tunaendelea kwa vululu vululu

    Ukiacha Usafi wa Kigali, Rwanda huwa inajimwambafai kwenye vyombo vya habari vya kimataifa zaidi ya uhalisia. Ukienda kwenye ground utakuta vitu vichache vimefanyika Kigali. Hata hizo VW sijui wataziuza wapi.
  12. Ozzanne Issakwisa

    Hakuna vitendo vya wizi Bandarini: TPA yatoa taarifa kwa umma

    Tairi na vifaa vinaibwa njiani na madereva wasio waaminifu.
  13. Ozzanne Issakwisa

    Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?

    Mkuu Pascal Mayalla Kweli unaweza ukawa na hoja. Lakini ulinganifu unaweza usifanane kulingana na nyakati na mission walizofanya kwa vipindi vyao. Kuna walioongoza vita. Kuna waliofanya jeshi liwe dogo na la kisasa n.k. Ukienda jeshini, utasikia Mwamunyange ndio anasifiwa sana. Sijui alifanya...
Back
Top Bottom