nagG
JF-Expert Member
- Oct 26, 2015
- 277
- 258
Habari zenu wadau, kuna wizi mpya unaendelea mtaani hasa kwa wanunuzi wa bidhaa za electonic.
Kuna huyu mtu anajiita Said - Electronic huko Instagram anajitangaza anauza vitu vya electronic kutoka Zanzibar kwa bei nafuu hivyo anakwambia unaletewa mzigo ukishatuma hela nusu.
Msimuamini huyu ni mwizi, nimeona niandike maana mimi ameshaniibia kwa kuamini nitatumiwa Tv, nimeona niandike ili nanyi msiwe wahanga, ukishatuma hela unablokiwa na pia sehemu ya comments kule insta kaizima ili walioibiwa wasicomment kitu anajiita Said Nyaso kwenye namba ya simu.
Kuna huyu mtu anajiita Said - Electronic huko Instagram anajitangaza anauza vitu vya electronic kutoka Zanzibar kwa bei nafuu hivyo anakwambia unaletewa mzigo ukishatuma hela nusu.
Msimuamini huyu ni mwizi, nimeona niandike maana mimi ameshaniibia kwa kuamini nitatumiwa Tv, nimeona niandike ili nanyi msiwe wahanga, ukishatuma hela unablokiwa na pia sehemu ya comments kule insta kaizima ili walioibiwa wasicomment kitu anajiita Said Nyaso kwenye namba ya simu.