Sasa Lisu kaingiaje hapo?nadhani tungempongeza kwa kuongea ukweli maana walikurupuka bila kufanya uchunguzi wakasema ukuta inahusika katika Yale mauaji.....I think now jeshi letu la police litakua linafanya uchunguzi kabla ya kutuumu moja kwa moja tena kwa sababu za kisiasa na kuacha...
Mwana TIA mimi ila nacheza na kazi ninavyotaka na nilisoma procurement ila nimefanya kazi taasisi kubwa za serikali na kwenye banks..... Kwa hiyo cjawahi kujuta kusomea TIA.... Kama ulimeza hapo ndo tatizo ila kama ulielewa hamna shida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.