kwa jinsi unavyo muona lissu anaweza kuwa na gentleman?
unadhani akiwa rais anaweza kubaki uprof wa kupewa?
naona anafaa kuwa president.ila jazba ndo shida
kwani kuna gari ya akina mama na akina baba?kikubwa tunaangalia matumizi ya mafuta..ingekuwa kiberiti kinawekwa mafuta na kutembea..mi ningetumia hicho
utumishi bado ni chombo ninachokiamini kwa ajira za watoto wa wakulima...hakuna upendeleo..idara hii ipo smart..kikubwa vijana tujiweke.sawa kwa interview sio kuamini ulichokifanya ni sahih wky hata maandalizi ni poor
ninachojua utumishi hufanya interview za aina mbili..practical na oral..
watu wa mtindo huo sio.kwamba kachomekwa ila anakuwa alifanya interview ya kwanza ya kazi hiyo hiyo hakufanya oral..so anaitwa ili amalizie..mfano madereva na masekretari..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.