Recent content by outbox

  1. O

    Wana ukonga list ya wabunge hiyo

    jerry c anategemea vijana..akiwarubuni tu kwa mipira na bia
  2. O

    GE2015 Ni Tundu Lissu pekee(Sababu moja sifa kumi)

    kwa jinsi unavyo muona lissu anaweza kuwa na gentleman? unadhani akiwa rais anaweza kubaki uprof wa kupewa? naona anafaa kuwa president.ila jazba ndo shida
  3. O

    Idd Azan, mwanamume hasusi! Usiliachie jimbo la Kinondoni kwa sababu ya fitina za CCM

    jamaa jembe ila anatetea mafisadi..acha aheshimu uamuzi wake
  4. O

    Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

    jamaa hajawahi..ila nani tumpe urais au tumpe nyarandu/nchemba a.k.a singida boys
  5. O

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    msimu huu hatupo sawa
  6. O

    Suala la ESCROW, Ikulu yabanwa zaidi

    hivi prophet tb joshua hakuliona hili la escrow ili tujihadhari kabla ya hatari?
  7. O

    AirAsia Plane Crash PROPHECY - T.B. Joshua

    huyu jamaa hata simuelewi kwakweli...mdomo wazi
  8. O

    Kusafiri safari ndefu kwa kutumia toyota passo

    kwani kuna gari ya akina mama na akina baba?kikubwa tunaangalia matumizi ya mafuta..ingekuwa kiberiti kinawekwa mafuta na kutembea..mi ningetumia hicho
  9. O

    CCM wamshambulia mdhamini CHADEMA

    huyu jamaa sijui anatumia masaburi kuwaza maana hata kona haoni yanayotokea nchi nzima
  10. O

    Utumishi hii sio fair kabisa

    utumishi bado ni chombo ninachokiamini kwa ajira za watoto wa wakulima...hakuna upendeleo..idara hii ipo smart..kikubwa vijana tujiweke.sawa kwa interview sio kuamini ulichokifanya ni sahih wky hata maandalizi ni poor
  11. O

    Utumishi hii sio fair kabisa

    ninachojua utumishi hufanya interview za aina mbili..practical na oral.. watu wa mtindo huo sio.kwamba kachomekwa ila anakuwa alifanya interview ya kwanza ya kazi hiyo hiyo hakufanya oral..so anaitwa ili amalizie..mfano madereva na masekretari..
Back
Top Bottom